Huyu ndiye Kinana, Je analipeleka wapi taifa letu?

Zabuni ya Mradi wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi jijini Dar ulipitia kwenye misukosuko ya urasimu wa hali ya juu baada ya wanachama na makada maarufu wa ccm kuteka mchakato mzima,

Mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm na Katibu mkuu wa ccm ndugu Abdulahman Kinana ndie aliyeileta nchini Tanzania Kampuni ya Strabag ya Ukandarasi wa Ujenzi iliyoanzishwa na Muastria katika mji wa Villach na kuweka makao yake makuu mjini Vienna Uswisi ambapo kampuni hii ndiyo ilishinda zabuni hiyo

Vienna iko Austria na siyo Uswisi
 
Koplo V Kisha wabwaga kwenye Twiga sasa mmehamia huku? nendeni mkamfundishe Mwenyekiti wenu awe na nidhamubungeni hata kama hana shule, busara zitamlindia heshima.
 
Last edited by a moderator:
Mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm na Katibu mkuu wa ccm ndugu Abdulahman Kinana ndie aliyeileta nchini Tanzania Kampuni ya Strabag ya Ukandarasi wa Ujenzi iliyoanzishwa na Muastria katika mji wa Villach na kuweka makao yake makuu mjini Vienna Uswisi ambapo kampuni hii ndiyo ilishinda zabuni hiyo

Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...

UDAKU umezidi kiasi kwamba geographical facts nazo mnataka kuzibadilisha!!!
 
Hopeless!Thibitisha hoja yako sio kulia lia kama mtoto ambae hajanywa uji
.
Rubbish
sio vizuri kukimbilia kutukana watu maana mleta uzi hakuna alipokutaja wewe ndio umjibu na kasema wazi kuwa mods wakimruhusu ataweka ushahihi, kuwa tu na subira maana issues kubwa kama hizi ni vizuri zikianza na 'utangulizi' kama huu.
 
Hajafukuzwa, habari hii tu inatosha kumwamini kwasababu ya asili ya ccm ya leo,

Mzee wa story za vijiweni za Lebanon naona leo mmekuja na story ya kijiweni ya Vienna iliyopo Uswisi!!!

Nawashauri mtunge vitabu vya hadithi, hamuwezi kukosa wateja. Story za vijiweni zinapendwa sana.
 
Hopeless!Thibitisha hoja yako sio kulia lia kama mtoto ambae hajanywa uji
.
Rubbish

Akitajwa Kinana unakuja juu kama umeshikwa kalio. sasa Rubish imetoka wapi hapa, ilhali jamaa kasema kuwa akipata idhini ya mods anabandika kila kitu hapa? tulieni kila kitu kiwekwe wazi! Vijana wa Lumumba bana!
 
Back
Top Bottom