A43
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 385
- 757
Ndg zangu wakati mwingine napata contradiction kuhusu nguvu na mamlaka ya Mungu hapa duniani ila tu niwaambie kweli Mungu mkuu mtakatifu na mwenye uwezo wa kila kitu yupo, pia ana kusudi kufanya yote haijalishi ya kheri au shari, yeye ndiye mwenye Siri kuu ya Dunia na ulimwengu.
Yeye ndiye Alfa na Omega
Yeye ndiye mwenye huruma
Yeye ndiye mwenye umiliki na mamlaka yote
Yeye ndiye hukiriwa na falme zote za kuzimu kwa uwezo wake wa ajabu
Mungu hachunguziki
Mungu nayemzungumzia hapa haeleweki
Mungu nayemsema hapa ndiye mwenye kusema iwe na ikawa, ndiye mwenye kukubali nakukataa kata kata
Mungu huyu ndiye mwenye kusudi kuu la kila jambo litokealo hapa Duniani
Pamoja na makosa yake shetani na falme zake zote za giza bado wanamkiri kwenye vinywa na nafsi zao kuye Yeye ndiye Bwana wa majeshi, yanayoendelea Duniani ni Ishara kuwa ndiye muweza wa yote, ndiye huwezi ukamtafakari ukammaliza, hachunguziki, haeleweki na haelezeki.
TABAKIA KUWA MUNGU TU. SIO MUNGU WAKUFIKIRIKA NI MUNGU ALIYE DHAHIRI NA KUNA SIKU WOTE TUTAPATA KUONA UKUU WAKE BILA KIFICHO.
Haelezeki naomba niishie hapa...
Ombi langu rudi kwake fanya toba, ni msikivu atakusikia atakusamehe atakupa bega lake uegemee, atakufuta machozi haijalishi ulimkosea kiasi gani, usione shida zinaendelea hapa dunia, mf vita, umasikini magonjwa ukasema sio Mungu wa huruma, hapana
Huyu ndiye mwingi wa huruma.
Yeye ndiye Alfa na Omega
Yeye ndiye mwenye huruma
Yeye ndiye mwenye umiliki na mamlaka yote
Yeye ndiye hukiriwa na falme zote za kuzimu kwa uwezo wake wa ajabu
Mungu hachunguziki
Mungu nayemzungumzia hapa haeleweki
Mungu nayemsema hapa ndiye mwenye kusema iwe na ikawa, ndiye mwenye kukubali nakukataa kata kata
Mungu huyu ndiye mwenye kusudi kuu la kila jambo litokealo hapa Duniani
Pamoja na makosa yake shetani na falme zake zote za giza bado wanamkiri kwenye vinywa na nafsi zao kuye Yeye ndiye Bwana wa majeshi, yanayoendelea Duniani ni Ishara kuwa ndiye muweza wa yote, ndiye huwezi ukamtafakari ukammaliza, hachunguziki, haeleweki na haelezeki.
TABAKIA KUWA MUNGU TU. SIO MUNGU WAKUFIKIRIKA NI MUNGU ALIYE DHAHIRI NA KUNA SIKU WOTE TUTAPATA KUONA UKUU WAKE BILA KIFICHO.
Haelezeki naomba niishie hapa...
Ombi langu rudi kwake fanya toba, ni msikivu atakusikia atakusamehe atakupa bega lake uegemee, atakufuta machozi haijalishi ulimkosea kiasi gani, usione shida zinaendelea hapa dunia, mf vita, umasikini magonjwa ukasema sio Mungu wa huruma, hapana
Huyu ndiye mwingi wa huruma.