Nina maana huyu padri alikuwa na maisha binafsi pia kama mwanadamu mwingine yeyote, tunaweza kufanya makosa makubwa ikiwa tutakuwa tunahusisha tu nafasi yake ya kazi kwa kuona ni chuki tu dhidi ya ukristu au uislamu.Sijakuelewa unachomaanisha, uchunguzi hauwezi kufanyika kwa namna unayopendekeza wewe, what is the basis for your hypothesis formation.!??
Nina maana huyu padri alikuwa na maisha binafsi pia kama mwanadamu mwingine yeyote, tunaweza kufanya makosa makubwa ikiwa tutakuwa tunahusisha tu nafasi yake ya kazi kwa kuona ni chuki tu dhidi ya ukristu au uislamu.
Tumeshuhudia kashfa kubwa kubwa zilizoligubika kanisa katoliki duniani hadi kupelekea Papa mwenyewe kujiuzulu kwa uzito wa kashfa dhidi ya kanisa hilo.
you shut up hakuna aliyesema waislamu wameua ila mnajishtukia wenyewe u Better quit tunamsikitikia FATHER wetu,,, nan asiowajua nyinyi. RIP FATHER
Uchunguzi wa kina ufanyike ukizingatia maeneo yafuatayo:
1. Kumewahi kutokea malumbano specific katika kanisa lake baina ya waumini na mapadri?
2. Padre alikuwa analalamikiwa katika jamii anayoishi? kwa lipi?
3. Je! Padre alikuwa na mahusiano yoyote na watoto wadogo hasa wakiume? wakati wowote ule?
4. Je! Padre kama mchagga alikuwa nafanya biashara yoyote akiwa Padre? kuzulumiana kukoje?
Nk NK
tusichukulie matatizo makubwa kama mepesi...mjumbe natumaini masaburi hayakutumika ktk kufikiria ulichokiandika hapo juu..maana,ts aagghh!