Mh. Edward lowasa asiposimamishwa agombee uraisi 2015 kambi yake ama itaanzisha chama au kuinga mkono cdm kwa wazi au kwa siri.
Kama akisimamishwa agombee urais kambi ya sitta,nape,mwakyembe,magufuli,membe aidha wataanzisha chama ama kuunga mkono upinzani kwani lowasa akiwa rais itakula kwao.
Either of the option itaporomosha ccm na kuipa nguvu upinzani
Kama akisimamishwa agombee urais kambi ya sitta,nape,mwakyembe,magufuli,membe aidha wataanzisha chama ama kuunga mkono upinzani kwani lowasa akiwa rais itakula kwao.
Either of the option itaporomosha ccm na kuipa nguvu upinzani