Mwamba Riki uzi wetu pendwa umepelekwa wapi. Kama vipi tuanzishe maandamano humu urejeshwe aseeHichi tu ndo unachompa????
Habarini wadau,
Mimi nimebahatika kuwa na mwanamke wa kichaga nilimpenda sana sana hadi sio poa. Nimekuwa nikiongea naye mambo mengi sana ya kimaisha na maendeleo, ingawa mimi ninakazi yangu nzuri tu sikosi mkono kwenda kinywani na yeye yupo kariako kwenye duka la ndugu yake anauza
Tatizo lake ni kwamba anataka kuforce vitu, alitaka nifungue biashara nikamwambia asubiri nikusanye mtaji nifungue biashara lakini haelewi anataka hapo hapo on sport. Pia, vocha kwa week nampa ya buku tano ila hawezi kupiga wala sms labda mi nipige na pia hata ukimtumia sms whatsup inaonekna kasoma lakini hajibu may be after on hour pia kuonana nae mpaka umuombe sana ajisikie muda wa kuja na si wewe umpangie na kuondoka hata kama kaja kwa daladala au mwendokasi anataka kuondoka achukue uber au bajaji, na akitaka chochote kwangu nampa hadi nimegombana na rafiki zangu kisa yeye.
Wakuu nimeumia sana naandika SMS hii kwa maumivu ya kuwa single na hisia bado kwake zipo, sijielewi
Akikujibu "Bora unipunguzie usumbufu utafanyaje?" Au asipokujibu utajisikiaje? Maana utaumia wew uliyependa, cha msingi alishakubali kuwa yupo low level na namna nzuri ya kujitoa hiyo level ni kukubali kuumia kwa kukaa kimya tu hata ikitokea amekumtafuta akaushe au ajibu simply as nothing has happened af asiongelee ishu za kuonana wala nn. Easy sana hiyoUnakumbatia miiba ndugu.
Dawa nzuri ya mwanamke anayekudharau ni dharau.
Mtext kuwa hutampugia simu wala kumwandikia SMS tena. Then fanya kama ulivyojikomiti
Mimi nawajua hawa viumbe. Ukiwaambia kuwa sitakutumia SMS wala kukupigia tena then kila akituma SMS ifute usiisome . ataumia na atajuta daima. Na hata ukiisoma kwa bahati mbaya usijibuAkikujibu "Bora unipunguzie usumbufu utafanyaje?" Au asipokujibu utajisikiaje? Maana utaumia wew uliyependa, cha msingi alishakubali kuwa yupo low level na namna nzuri ya kujitoa hiyo level ni kukubali kuumia kwa kukaa kimya tu hata ikitokea amekumtafuta akaushe au ajibu simply as nothing has happened af asiongelee ishu za kuonana wala nn. Easy sana hiyo
Kabisa yani.Pole boss.
Kiufupi haupendwi.
Umachunwa.
Wewe ni danga.
Wewe ni bwege!soma uzi vizuri vocha ya bukutano kwa week piga mara mwezi
Ndivyo ifaavyo!labda nikuulize..ushamgonga?if yes..achana nae huyo ni mbinafsi.if no fanya juhudi umgonge then piga chini mjinga huyo.
Mods wivi umewajaaa wameona tunafaidi sanaa...Mwamba Riki uzi wetu pendwa umepelekwa wapi. Kama vipi tuanzishe maandamano humu urejeshwe asee
Wangejua arosto tunayoipata mabahari sasa, wangeurudisha tu.Mods wivi umewajaaa wameona tunafaidi sanaa...
CHAUMMA ND'O SULUHISHO LA ADHA ZOTE NCHI HII,Habarini wadau,
Mimi nimebahatika kuwa na mwanamke wa kichaga nilimpenda sana sana hadi sio poa. Nimekuwa nikiongea naye mambo mengi sana ya kimaisha na maendeleo, ingawa mimi ninakazi yangu nzuri tu sikosi mkono kwenda kinywani na yeye yupo kariako kwenye duka la ndugu yake anauza
Tatizo lake ni kwamba anataka kuforce vitu, alitaka nifungue biashara nikamwambia asubiri nikusanye mtaji nifungue biashara lakini haelewi anataka hapo hapo on sport. Pia, vocha kwa week nampa ya buku tano ila hawezi kupiga wala sms labda mi nipige na pia hata ukimtumia sms whatsup inaonekna kasoma lakini hajibu may be after on hour pia kuonana nae mpaka umuombe sana ajisikie muda wa kuja na si wewe umpangie na kuondoka hata kama kaja kwa daladala au mwendokasi anataka kuondoka achukue uber au bajaji, na akitaka chochote kwangu nampa hadi nimegombana na rafiki zangu kisa yeye.
Wakuu nimeumia sana naandika SMS hii kwa maumivu ya kuwa single na hisia bado kwake zipo, sijielewi