cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,157
- 181,310
Kwahiyo vocha ya buku 5 kwa week ndo uhangaike hivyo?soma uzi vizuri vocha ya bukutano kwa week piga mara mwezi



BwaaahaaahaaChagga girls karibu wote mbona wako hivyo mkuu....hawapo romantic hata kidogo....hata kitandani ni magogo ya maana tu
Buku 5 mara 4 inakuja sh 20,000 mwanaume uliyekamilika unahonga sh 20,000 unakuja jf kufungus uzi, hebu kueni basi, unaweza kua msomaji tu hapa jf, sio. Lazima kuandika uzisoma uzi vizuri vocha ya bukutano kwa week piga mara mwezi
Nadhani wengine mnaandika ili kufurahisha baraza tu!!
Usimhusudu huyo siyo mama yako, piga chini hakupendi huyo, wanawake wapo wengi.Habarini wadau,
Mimi nimebahatika kuwa na mwanamke wa kichaga nilimpenda sana sana hadi sio poa. Nimekuwa nikiongea naye mambo mengi sana ya kimaisha na maendeleo, ingawa mimi ninakazi yangu nzuri tu sikosi mkono kwenda kinywani na yeye yupo kariako kwenye duka la ndugu yake anauza.
Tatizo lake ni kwamba anataka kuforce vitu, alitaka nifungue biashara nikamwambia asubiri nikusanye mtaji nifungue biashara lakini haelewi anataka hapo hapo on sport. Pia, vocha kwa week nampa ya buku tano ila hawezi kupiga wala sms labda mi nipige na pia hata ukimtumia sms whatsup inaonekna kasoma lakini hajibu may be after on hour pia kuonana nae mpaka umuombe sana ajisikie muda wa kuja na si wewe umpangie na kuondoka hata kama kaja kwa daladala au mwendokasi anataka kuondoka achukue uber au bajaji, na akitaka chochote kwangu nampa hadi nimegombana na rafiki zangu kisa yeye.
Wakuu nimeumia sana naandika SMS hii kwa maumivu ya kuwa single na hisia bado kwake zipo, sijielewi
Kama amekushinda na huwezi kumuachaHabarini wadau,
Mimi nimebahatika kuwa na mwanamke wa kichaga nilimpenda sana sana hadi sio poa. Nimekuwa nikiongea naye mambo mengi sana ya kimaisha na maendeleo, ingawa mimi ninakazi yangu nzuri tu sikosi mkono kwenda kinywani na yeye yupo kariako kwenye duka la ndugu yake anauza.
Tatizo lake ni kwamba anataka kuforce vitu, alitaka nifungue biashara nikamwambia asubiri nikusanye mtaji nifungue biashara lakini haelewi anataka hapo hapo on sport. Pia, vocha kwa week nampa ya buku tano ila hawezi kupiga wala sms labda mi nipige na pia hata ukimtumia sms whatsup inaonekna kasoma lakini hajibu may be after on hour pia kuonana nae mpaka umuombe sana ajisikie muda wa kuja na si wewe umpangie na kuondoka hata kama kaja kwa daladala au mwendokasi anataka kuondoka achukue uber au bajaji, na akitaka chochote kwangu nampa hadi nimegombana na rafiki zangu kisa yeye.
Wakuu nimeumia sana naandika SMS hii kwa maumivu ya kuwa single na hisia bado kwake zipo, sijielewi
😃 😃 😃20 elfu hiiiiiiiiii,,,,ungeongeza kiwango kaka kumbe ulijifelishasoma uzi vizuri vocha ya bukutano kwa week piga mara mwezi