Huyu mwanawake Mungu anamuona...

Huyu mwanawake Mungu anamuona...

Habarini wadau,

Mimi nimebahatika kuwa na mwanamke wa kichaga nilimpenda sana sana hadi sio poa. Nimekuwa nikiongea naye mambo mengi sana ya kimaisha na maendeleo, ingawa mimi ninakazi yangu nzuri tu sikosi mkono kwenda kinywani na yeye yupo kariako kwenye duka la ndugu yake anauza.

Tatizo lake ni kwamba anataka kuforce vitu, alitaka nifungue biashara nikamwambia asubiri nikusanye mtaji nifungue biashara lakini haelewi anataka hapo hapo on sport. Pia, vocha kwa week nampa ya buku tano ila hawezi kupiga wala sms labda mi nipige na pia hata ukimtumia sms whatsup inaonekna kasoma lakini hajibu may be after on hour pia kuonana nae mpaka umuombe sana ajisikie muda wa kuja na si wewe umpangie na kuondoka hata kama kaja kwa daladala au mwendokasi anataka kuondoka achukue uber au bajaji, na akitaka chochote kwangu nampa hadi nimegombana na rafiki zangu kisa yeye.

Wakuu nimeumia sana naandika SMS hii kwa maumivu ya kuwa single na hisia bado kwake zipo, sijielewi
Hakuna Upendo hapo kaka Usipoamua kuondoka utakuja juta maishani mwako, Mwanamke kama atakuelewa hawezi kuacha kujibu meseji kwa wakati na ishu ya Kuonana sio jambo gumu hata kidogo

Huyo ana bwana anayempenda na wewe ni spea Tairi, Nakushauri anza kumsahau uwe huru
 
Rekebisha tu kauli zifuatazo
#1 Kuwa una kazi ya maana sio kweli kwa sababu wenye kazi za maana hawafananii hivyo. We sema nina kibarua cha kunilisha basiii
#2 kuwa vocha ya 5000 ni pesa nyingi sio kweli kwani mimi tu natumia 10,000 kwa wiki. Na unaenda mbali kabisa kuwa 5000 zidisha kwa mwezi ni sh ngapi. Watu tunahonga zaidi ya 500,000 kwa mwezi na tunajua pesa ndo inapendwa na hatulalami mzee.
In short tafuta pesa kijana au tafuta wa hadhi yako ya hizo 5000 kwa wiki
nikupe ID yangu
 
piga chini huyo..
Yaani hapo bado ni mpnz lkn analeta udwanzi, na isitoshe ushamuahidi kuwa mtafngua biashara still bado analeta wenge. Hakupendi huyo, achana nae. Na ukishamfungulia biashara andika umeumia.
 
Mkuu Bidada lazima na watu anaowapa huo muda anaokunyima! Inshort hana mpango na wewe ila tu bado anakupima au kajiongezea muda wa kuendelea kukupiga vizinga! Hapo fanya uamzi mgumu, piga chini tafta mtu mwingine , hapo unapoteza pesa na mda wako bure!
 
wewe ni mume bwege pole sana....na hiyo ni shida ya mwanaume kuwa na mwanamke mmoja
 
Braza leave ,run ,fly, u waste your time,energy na hakuna utakachokivuna hapo ww ni Kama ndugu yang ingawa hatujuani sipendi uumie zaid ya hapo wahi mapema sana kuachana na huyo mdada kwa manufaa ya maisha yako .No love hapo kati yako na yy


Jikubali kwanza usikubali kupelekeshwa kiboya na manzi mkuu huduma utoe ww kila kitu ww bado tena huna furaha na anakuendesha seriously kweli mbona kama umejishusha hadhi na yy kashajua weakness yako ndo hapo anakubinyia run don't look but I hope ukisitisha huduma zote kuanzia sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hila Aya Mambo aya
 
Siku utakapo ijuwa thamani yako ndipo hapoutakuwa nahakili za kujenga familia, Niliachishwa kazi kisa mpenzi wangu harafu baada ya miezi 6 akamtuma rafiki yake aniletee kadi ya harusi akiwa anafunga Ndoa na mtu mwingine kabisa, nimekaa ndani bila kufanya chochote mwaka mzima hata Jfm sikuwahi kuingia kwa mda wore huo, baadaye nimeamua kutafuta thamani yangu wasichana wao ndio wananitafuta ingawa Sina kazi Tena ya kupokea mwisho wa mwezi ila ninapambana katika kile ninachokipata kwa kazi ya fani yangu na kulidhika.
 
Rekebisha tu kauli zifuatazo
#1 Kuwa una kazi ya maana sio kweli kwa sababu wenye kazi za maana hawafananii hivyo. We sema nina kibarua cha kunilisha basiii
#2 kuwa vocha ya 5000 ni pesa nyingi sio kweli kwani mimi tu natumia 10,000 kwa wiki. Na unaenda mbali kabisa kuwa 5000 zidisha kwa mwezi ni sh ngapi. Watu tunahonga zaidi ya 500,000 kwa mwezi na tunajua pesa ndo inapendwa na hatulalami mzee.
In short tafuta pesa kijana au tafuta wa hadhi yako ya hizo 5000 kwa wiki
Daah mkuuu unahonga laki tako kwl maisha kuna magepu me nkitumia hata 10 na dem ang napiga mahesabu
 
Mimi nawajua hawa viumbe. Ukiwaambia kuwa sitakutumia SMS wala kukupigia tena then kila akituma SMS ifute usiisome . ataumia na atajuta daima. Na hata ukiisoma kwa bahati mbaya usijibu
Njia nzur ya kumvutia msichana anayejifanya anaku-ignore na ww fanya hvyohvyo lazama atakutafuta mwenyw badae
 
Habarini wadau,

Mimi nimebahatika kuwa na mwanamke wa kichaga nilimpenda sana sana hadi sio poa. Nimekuwa nikiongea naye mambo mengi sana ya kimaisha na maendeleo, ingawa mimi ninakazi yangu nzuri tu sikosi mkono kwenda kinywani na yeye yupo kariako kwenye duka la ndugu yake anauza.

Tatizo lake ni kwamba anataka kuforce vitu, alitaka nifungue biashara nikamwambia asubiri nikusanye mtaji nifungue biashara lakini haelewi anataka hapo hapo on sport. Pia, vocha kwa week nampa ya buku tano ila hawezi kupiga wala sms labda mi nipige na pia hata ukimtumia sms whatsup inaonekna kasoma lakini hajibu may be after on hour pia kuonana nae mpaka umuombe sana ajisikie muda wa kuja na si wewe umpangie na kuondoka hata kama kaja kwa daladala au mwendokasi anataka kuondoka achukue uber au bajaji, na akitaka chochote kwangu nampa hadi nimegombana na rafiki zangu kisa yeye.

Wakuu nimeumia sana naandika SMS hii kwa maumivu ya kuwa single na hisia bado kwake zipo, sijielewi

Njoo kwangu nikuondoe upweke na maumivu.
 
Back
Top Bottom