pinky toto
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 215
- 122
Huyo mwanaume hapana kwakweli, mwambie naweka mtu dukan naenda mkoan kufanya kazi.
Ni bora angekuzuia kufanya kaz km anakuhudumia, jisimamie. Ni mbnafs na anajipnda yy na ndugu zake. Mtu wa ivo n nyoka hta maisha ya ndoa utateseka sana.
Heri kuvunja uchumba kuliko ndoa ya mateso na majuto
Ni bora angekuzuia kufanya kaz km anakuhudumia, jisimamie. Ni mbnafs na anajipnda yy na ndugu zake. Mtu wa ivo n nyoka hta maisha ya ndoa utateseka sana.
Heri kuvunja uchumba kuliko ndoa ya mateso na majuto