Shida ndiyo hiyo wwasikia tu ndoa basi hata kama mtu hapendezwi na tabia anavumilia tu bora nikaolewa hata miaka 30 lakini nikawa na amani na ndoa kuliko kuwahi halafu unakimbilia stress watu wanalazimisha ndoa, niliwahi msikia dada mie nilikuwa nataka ndoa tuMhhh heri nusu shari kuliko shari nzima yaaani ni bora ukaushia njiani kabla hujajifunga. Ila wadada wakisikia kigezo cha kuolewa huchanganyikiwa sidhani kama utatusikiliza mawazo yetu haya. Mimi naona huyo atakutesaaaaaaà
Huyu alijisahau kuwa yeye ndio anatakiwa kupendwa,.hahhah,. ila MTU mwaka mzimaaa jamanii unamwangila tuu aseee,..ana moyo kweli.Kafanya uzembe mwenyewe maana unafikahe mbali na mtu wajati unaona kuna tabia haziko sawa!
HahahahaHuyu alijisahau kuwa yeye ndio anatakiwa kupendwa,.hahhah,. ila MTU mwaka mzimaaa jamanii unamwangila tuu aseee,..ana moyo kweli.
Kama alitegemea faraja alie tuu leo,lakini bora ukweli mchungu bhana.....eheee utamsitiri kwa kumuoa ama!!??Hahahaha
Jamaa hakuna hata mtu mmoja kwenye huu uzi alo mtetea.
She should just go. Atapata mwingine asipo pata hata mi ntajitolea kumsitiri

Pole sana ...Naomben mawazo yenu kidogo hapa
Ninamchumba ambae tumemaliza process zote bado ndoa tu ambapo tumepanga tufunge mwez wa 7
Mi nawaza nitaishije na huyu mtu?
Mimi ninakipharmacy kidogo mtaji wa 1m ..ammbapo faida naweza pata lak 270_mpaka 3 kulingana na hali ya kibiashara
Mchumba wangu anafanya kazi ambapo anaweza ingiza kuanzia mil 1.7 mpaka mil 2 kwa mwezi
Mimi na mchumba angu huyu tunaelewana vizuri tu tatizo ni mbinafsi sana
Yaana yeye anataka ajue mapato na matumiz yangu lkn yeye ya kwake hata anishirikishi...
Kibaya ananiambia nisevu hela ili nikiolewa namfata wilaya alipo so niweke mtaji kwa ajir ya kufungua kule duka jingine
Sasa jmn kwa kipato changu hicho kwa mwez napoishi nalipa 60 + 50 chumba cha biashara + bills zote maji umeme sehem 2..... Kula Mimi na mtoto
Maana ninamtoto ambae baba ake alishafariki
sasa kwa matumiz hayo naweza save hela kweli?
Maana yeye hanisaidii kwa chochote hata nikimuomba anisaidie kulipa kodi anadai kwao familia inamtegemea hivyo nisubir amalize majukum ya kwao
Nina mwaka nae lkn hajawai kuninunulia hata nguo...hata kiatu tu cha mtoto wangu hawez
Dec mwaka Jana nilipoteza cm akaniambia kopa sehem nitalipa nikamkoba kaka angu nikanunua cm lkn kila nikimwambia tulipe angalau 50 kila mwez anadai nisubir kwanza imebidi niilipe tu mwenyewe
Juz ananiambia tuanze kutunza hela kila mwez yeye aweke lak 2 Mimi laki 1 kwa ajir ya kununua kiwanja....
Nikamwambia nimepata kaz mkoa mwingine basi nikafanye dukan niweke mtu hataki mi kipato hiki hakinitoshi maana Tayar ninamtoto ambae ananitegemea Mimi hataki nikaajiliwe wkt anisaidii chochote
Yeye hela yake ikiingia robo 3 ya mshahara inaenda kwao na kwa ndugu jamaa na marafiki
Juz alipata bonus kazin kwao kama laki 7 hivi nikamuomba elf 30 tu nikanunue kitenge nishone akasema unavaa nini nguo unazo
Sijakaa sawa mjomba ake akaomba laki akatumiwa
Yeye leo ananiambia kanunua cm ya laki 5...
Kinachoniuma anakipato kikubwa lkn hata kidogo changu anataka akijue mapato mpaka matumiz wkt za kwake sijui!!!
Eeeh akikosa yyte mi ntamuoaKama alitegemea faraja alie tuu leo,lakini bora ukweli mchungu bhana.....eheee utamsitiri kwa kumuoa ama!!??![]()
![]()
![]()
Wow,Eeeh akikosa yyte mi ntamuoa![]()
Silipwi milioni 1 na laki 7
Ila siyo mchoyo.
At least she deservea someone like me
naona mwenyewe kashaona fursa hii adhimuNgoja nikae karibu aiseee ...ha ha haWow,naona mwenyewe kashaona fursa hii adhimu