Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,722
- 6,593
So mleta mada hana chura?Mwanamke akikosa chura dunia ya sasa inakuwa ngumu sana
ploudly ngosha



So mleta mada hana chura?Mwanamke akikosa chura dunia ya sasa inakuwa ngumu sana



mjini shule sio urefu wa maghorofaJamani naombeni ushauri wenu ndugu zangu nilikua na rafiki wa kiume close friend yaani tulikua marafiki hasa kiasi kwamba haiwezi pita Masaa 2 hatuwasiliani usiku tunaongea mpaka SAA 5 usiku.
Kuna siku alienda kazini akachelewa kutoka akanipigia best ndio nafika alafu gesi imeisha kwakua ni rafiki sikuona ajabu nikamwambia njoo ule huku akaja kula Sijui kilitokea nini tukajikuta tupo katika mahusiano ya kimapenzi kweli mi nilikua nampenda sana before nadhani hata yeye.
Sasa kilichofanya niombe ushauri ni tabia ya jamaa kifupi tumepanga kufikia December tuwe tumesha tambulishana kwa wazazi lengo tuje tuishi pamoja ambacho simuelewi jamaa anaweza piga simu pika nakuja kula kweli najipinda napika anakula anaondoka au anaweza pata mgeni akaniambia piga ninamgeni tunakuja kula nawapikia jamaa hanunui hata mboga wala tu kujiongeza angalau alete hata nyanya tu hapana
Yeye ana kazi nzuri analipwa karibia 1million per month mimi mbangaizaji tu lakini hata huruma hana nashindwa nimuelewe juzi aliniambia njoo uninunulie lunch nikamwambia sina hela basi.
Jana kaja nimekuja kula ikabidi niandae chakula akala akaondoka jamani nashindwa kumuelewa ni mtu wa aina gani mi sio muongeaji sana nashindwa kumuambia nataka niachane nae je naanzaje? maana ukweli nampenda Jamaa ana 36 mimi nina 30.
Naombeni ushauri wenu
Precisely mkuuA gentleman takes care of his Queen,u r not his queen,u r jt another girl 2 him,quits & move on
Ndicho hicho nachokisema kila siku...Hamna mtu hapo, kwa umri wake si mtu wa kuanza kumuelekeza mambo madogo madogo kama hayo, litakapokuja swala la mimba si
ndio atapotea kabisa.
mwanaume akishakuzimia, hujibebesha majukumu bila hata kuambiwa.
Shoga yako mwanaume suruali! Inabidi utumie akili sana kushtukia!
Na ishara zote ziko wazi..jomoni chaa!Hivi kama mtu hakupendi unataka mpaka akuambia waziwazi kuwa hakupendi???!![]()
Ushauri mujarab mkuu, naamini atauzingatia bt pia tumia zaidi tafsida kupunguza ukali wa maneno yasiyo na staha.
Sent using Jamii Forums mobile app
...