Sisi wafupi wenye uwalaza mtatusaidiaje jamani??Translation
Mwanaume kama unajijua ni mweusi,mrefu,una upara(ule wa kunyoa lakini,sio uwaraza) bila kusahau uwe na ndevu jiongeze hapo for them digits
Kipau(o)mbele kitatolewa kwa atakayeomba mchezo mapema zaidi
Tuttyfruity ningekuwa mie ningeendelea kumsubiri nione atamalizaje na mimi,kama aliomba namba huko kwengine ni suala la muda tu....kuwa mvumilivu