Huyu mwanaume simuelewi

Huyu mwanaume simuelewi

Anakumendea huyo siku akikushika utajutia... Me mwenyew nipo hvo hvo
 
sikia wanaume wa kishua siyo washamba kiasi hicho anaeza akakununulia zaga nakukupa chochote na asitake kitu.

sema wabongo wengi tunachukulia mambo tofauti pengine amechukua namba ila hakuelewi kiivo yaan yeye na huyo dada ake wanaona bado hujakaa mkao kwao wanakucheki kwanza.

So huyu sio kama hawa wanaume wa uswahilini unakuta anauzungu emu chunguza maana mi nimekulia mazingira ya hivi nawafahamu sana.

afu kama anataka akukule basi anafanya kitu soon ili dada ake asijue maana akijua lazima ataleta varangati hapo nyumbani.

Hii moment inanikumbusha nilivo fika moshi kuna broh wangu alikuwa na manzi kama ulivoeleza you have the same situations by the way.
 
Translation

Mwanaume kama unajijua ni mweusi,mrefu,una upara(ule wa kunyoa lakini,sio uwaraza) bila kusahau uwe na ndevu jiongeze hapo for them digits

Kipau(o)mbele kitatolewa kwa atakayeomba mchezo mapema zaidi

Tuttyfruity ningekuwa mie ningeendelea kumsubiri nione atamalizaje na mimi,kama aliomba namba huko kwengine ni suala la muda tu....kuwa mvumilivu

Mie hapa mami, naomba hizo digits
 
kuna mdau alileta Uzi apa MMU kwa nin wadada wengi wanawapenda playboys.. Na sio wa kaka wastarabu.. Na wapole wapole.. Nais Ndicho unachopitia. Angekua play boy apo hawez kuongea Iv iv tu bila ya kukushika shika

Any way nisi base sana kwenye Huo mtazamo ukija side B pia huenda ni wale wa kaka ambao hawapend kuonekana waalibifu.. Kama amekuelewa mara nying wanapenda kwnda na she slow slow.. Sio wale zimepita siku 3 anaomba shoo.. Anaisi utamuona malaya.. So kama vipi dance na beat yake..
Raha ya mwanaume hata anivute vute alafu niwe nakataa sasa huyu zero. Story tu
 
Mwanaume kama unajijua ni mweusi,mrefu,una upara(ule wa kunyoa lakini,sio uwaraza) bila kusahau uwe na ndevu jiongeze hapo for them digits

Kipau(o)mbele kitatolewa kwa atakayeomba mchezo mapema zaidi
If you know you know 😁
 
Niaje wadau. Long time. Mimi mzima kabisa. Mengi yamebadilika since last time I posted here. Anyways tuende direct kwenye mada.

Wiki chache zilizopita nilikutana na mkaka hivi mitaa ya kwetu. He's TALL DARK BALD HAS A BEARD yani in short he's my type. Nilikua natoka jogging nimechoka nikamkuta kapaki mbele ya geti letu ikabidi nimuulize anamsubiri nani pale akanitajia jina la mtu simjui so I had to tell him huyo mtu haishi hapo. Sasa kama ilivyo ada mkikutana na pisi kali lazma muombe namba chalii akaomba buana mm sina hiyana likija kwenye suala la kutoa digits.

Tumechat tumeonana dates za hapa na pale. Juzi dada ake kanialika dinner nikaenda kula msosi ni mtu poa we had chemistry. Wapo wawili tu wazazi wao walishafariki kitambo.

Sasa tatizo nililolileta kwenu huyu chalii ndani ya wiki zote 4 dates zote kaspend pesa nyingi hajawahi hata kunishika mkono achilia mbali kunikiss. I'm trying to go with the flow lakini ustaarabu karibu unanishinda.

Hivi wadau huyu mtu ni muoga, hajavutiwa na mimi au sio riziki? nashindwa kumuelewa kabisa. Ukizingatia sisi sio under 18.

Mnanishauri nifanye nini should I make the first move au niwe cool?

Anyways atakaeniita mzinifu nampiga. Comment za kijumbe sitaki.

Asubuhi njema Watanzania wenzangu.
Kumbe unataka kushikwa! Pole sana kazi ipo
 
Hivi nyie akina dada mnataka nini mbona hamweleweki? Angekuomba mzigo siku ya pili tu bado ungekuja kuomba ushauri... Sasa cha kufanya mpeleke hotel ukaanze wewe hapo ndo utapata mawazo yako binafsi nini ufanye.
Huyu anapenda sana ile michezo hilo lipo wazi
 
Haujatoa mrejesho mliachana kisa nini baada ya kuonyana????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom