Huyu mwanaume ananichanganya sana

Huyu mwanaume ananichanganya sana

Tatizo liko kwako, wala humpendi unaogopa umri wako kwenda. Huna malengo nae wala ndo maana walalama, halafu kuna baba mtoto anatunza mwana yaani hapo ni kizungumkuti!!!

Usimgande mtu sababu ya umri wako, utajuta. Mwenyewe labda keshakusoma ndo maana ya yote hayo
Morning...
 
C utumie hiyo faida unayo ipata dukan kwako au zako hazinunui mahitaji
 
Marhaba Sakayo Dada yangu...
yaaani nikiona tuu meseji yako hata kama naendesha naegesha gari pembeni na kuijibu....
huwa simu yangu inanipa message notification za JF,Linkedin&FB,
So nikona tuu ya Sakayo fasta naegesha gari na kuijibu haraka...
nipo Aiseee nikaribishe basi huko....
 
Marhaba Sakayo Dada yangu...
yaaani nikiona tuu meseji yako hata kama naendesha naegesha gari pembeni na kuijibu....
huwa simu yangu inanipa message notification za JF,Linkedin&FB,
So nikona tuu ya Sakayo fasta naegesha gari na kuijibu haraka...
nipo Aiseee nikaribishe basi huko....
Mie sijambo, unaendeleaje
 
Haya mawazo ya kale! Kuna MTU asiye na mahitaji? Achana kusex u have sisters or mother hawana mahitaji? Sembuse mwanamke unayelalanae!

Swadakta!!wamepata kichaka cha kujifichia!Baeleze baelewe
 
Back
Top Bottom