Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,599
Hapana mwanaume wa kweli lazima atoea pesa bila hata kuombwa,,kuna vitu inabidi kujali,,mbona pesa zinawauma hivyo?Swali la utangulizi:
Naomba niulize hivi kuna wanawake wakikaa na kuishi bila kutumia pesa ya mwanaume kwao maisha hayaendi?
Mchango:
Anakulalia ni vibaya kama anakula hadi kwako ila kusex na wewe sio guarrantee ya kulipwa labda kama unamuuzia.
Huyo mkaka hamfai kabisa ,,pesa anakula mwanamke mwingine huko