Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 25,443
- 46,201
Huo ndio usawa mnaoupigia kelele kila leo.
Jan 20, 2017;
Huyu mwanaume ananipenda kweli?
Aug 4, 2017;
Huyu mwanaume simwelewi kabisa
Sep 19, 2017;
Wapi nitapata dawa hii ya kuongeza 'shepu'?
July 31, 2015;
Je, nitakuwa nimemuharibu mtoto?
Kweli kabisa , naona umri ukisonga unakuwa threat kabisaaadah wanawake ambao umri wenu umeenda mnapata shda sana ndoa zinawatesa
mtu hajui hata kukuhudumia uko nae kisa ndoa huyo mkioana jua utalea familia peke yako
Mbona kama ni wewe? Uwe unachangia bhana wewe wa kiume[emoji38] [emoji12]Huyo mwanaume hajakuoa bado soo anakuja kwako kama mgen but mara nne ni nyingi sana jaribu kumcontroll.
*swala kugharimikia wanawake ambao hujaoa ni ushamba na ujinga, Tafuta zako mama usitarajie kupokea hela ya mwanaume na wala usipigie hesabu mshahara wa mwanaume asie mume wako.
Swala la huyo kula na kula kwako bila kutoa hela ni kawaida bcz najua wanawake mkienda kwa wanaume wenu hamchangiaji. Lets be 50/50 na mambo yataenda.
Mm nina wasiwasi kaombwa na girl wake hiyo 40 halafu anataka demu amlipie gemu[emoji12]Kwa miaka uliyonayo ni wa kuolewa. Labda tu usichoke mkumbushe kuwa maisha ni kusaidiana na unahitaji mchango wake. Kuhusu kuja kila siku, naona Dogo amekupenda, ni mambo machache ya kurekebisha. Itafika mahali atatop up kitu hata dukani. Briefly umeuliza kitu cha Msingi, utaachana na wangapi? Tulia nae, ongea nae, hiyo 40000 mpe, wala usijali atakuwa mtu mwema. Good day
Chuma ulete unawajua kama uwajui bx n uyo mchumba wakohuyu mwanaume kanichosha kabisa Sijui tu nifanyeje nimpenz tumeahidiana kuoana anavyodai by DEC tuanze process za kutambulishana nyumban japo ndugu zake au wazazi wake naongea nao kwenye cm so wanafaham mtoto wao anamchumba japo hawajaniona
Kinachonikela kwa mchumba wangu huyu hana akil ya kujiongeza....Mimi ninaduka lina mtaji kama mil 2 au 1.5 hivi so kwa mwez naweza pata faida kama ya lak 4 ....mwenzangu anafanya kaz katika kampun flan anamshahara mzuri tu kuanzia million hv....
Tatizo la mtu wangu hajui mwanamke anahitaji hiki wala hiki.....Mimi sina tabia ya kumuomba hela hua nampa Uhuru tu anipe yeye atakayoona kama mwanamke naitaji matumiz gani..
Ajabu hawez jiongeza kabisa anaweza akaja kwangu akala akalala akaondoka asubuh haachi hata hela ya matumiz au akaja akashinda akala akalala akaondoka bila hata kujali chochote...
Yaan nakuta najigharamia kilakitu kuanzia,, kodi, bills zote, mafuta ya kupaka,,saloon,, nguo kula yaan kila kitu....
Kuna kipindi nilijaribu kuongea nae akasema OK sory akawa akija kulala asubuh anacha elf 5 ya matumiz ilienda kama siku 3 hv akaacha...napata uchungu Mimi ninamtoto nilizaa na mwanaume mwingine hua anatoa hela ya matumiz ya mtoto...unakuta mzazi mwenzangu akinitumia hela nanunua vyakula naweka ndani tunatumia na huyu mchumba wangu moyo wangu unauma nashindwa niamue nini naogopa kumpoteza maana umri umeenda Nina 30yrs..
Napata uchungu kuona nahangaika kutafuta maisha nakaa Dukan kuanzia asubuh mpaka SAA NNE sina msaada wowote yeye akija niku sex tu asubuh akaondoka na anaweza akafululiza hata siku 4 kila siku anakuja kulala na anisaidii chochote
Sasa Jana kaniombia anashida nimtafutie elf 40 mshahara ukitoka atanirudishia nimemwambia sina akadai tafuta tunza kila siku elf 10 katika biashara yako jpil unipe mshahara ukitoka nitakurudishia......bado nawaza hata hanionei huruma???
Naomben ushauri ndugu zangu
Mwanaume mashine au pesa?huyu mwanaume kanichosha kabisa Sijui tu nifanyeje nimpenz tumeahidiana kuoana anavyodai by DEC tuanze process za kutambulishana nyumban japo ndugu zake au wazazi wake naongea nao kwenye cm so wanafaham mtoto wao anamchumba japo hawajaniona
Kinachonikela kwa mchumba wangu huyu hana akil ya kujiongeza....Mimi ninaduka lina mtaji kama mil 2 au 1.5 hivi so kwa mwez naweza pata faida kama ya lak 4 ....mwenzangu anafanya kaz katika kampun flan anamshahara mzuri tu kuanzia million hv....
Tatizo la mtu wangu hajui mwanamke anahitaji hiki wala hiki.....Mimi sina tabia ya kumuomba hela hua nampa Uhuru tu anipe yeye atakayoona kama mwanamke naitaji matumiz gani..
Ajabu hawez jiongeza kabisa anaweza akaja kwangu akala akalala akaondoka asubuh haachi hata hela ya matumiz au akaja akashinda akala akalala akaondoka bila hata kujali chochote...
Yaan nakuta najigharamia kilakitu kuanzia,, kodi, bills zote, mafuta ya kupaka,,saloon,, nguo kula yaan kila kitu....
Kuna kipindi nilijaribu kuongea nae akasema OK sory akawa akija kulala asubuh anacha elf 5 ya matumiz ilienda kama siku 3 hv akaacha...napata uchungu Mimi ninamtoto nilizaa na mwanaume mwingine hua anatoa hela ya matumiz ya mtoto...unakuta mzazi mwenzangu akinitumia hela nanunua vyakula naweka ndani tunatumia na huyu mchumba wangu moyo wangu unauma nashindwa niamue nini naogopa kumpoteza maana umri umeenda Nina 30yrs..
Napata uchungu kuona nahangaika kutafuta maisha nakaa Dukan kuanzia asubuh mpaka SAA NNE sina msaada wowote yeye akija niku sex tu asubuh akaondoka na anaweza akafululiza hata siku 4 kila siku anakuja kulala na anisaidii chochote
Sasa Jana kaniombia anashida nimtafutie elf 40 mshahara ukitoka atanirudishia nimemwambia sina akadai tafuta tunza kila siku elf 10 katika biashara yako jpil unipe mshahara ukitoka nitakurudishia......bado nawaza hata hanionei huruma???
Naomben ushauri ndugu zangu
Mkuu uko sahihi hawa mademu ni wakula kisela tuu...Hamna haja ya kuhudumia watu wasiojielewaWangapi wana hudumia na bado wana chapiwa dada yangu?
Nyie hamna formula.
Ndo maana uwa tunaamua. Kuchapa kisela. Unaweza ukahudumiwa na bado ukasaliti.
Uwa simuamini mwanamke.
Japo siwezi kuishi bila mwanamke.
Hahahahaaaaaa naona umekuwa kama UshimenJan 20, 2017;
Huyu mwanaume ananipenda kweli?
Aug 4, 2017;
Huyu mwanaume simwelewi kabisa
Sep 19, 2017;
Wapi nitapata dawa hii ya kuongeza 'shepu'?
July 31, 2015;
Je, nitakuwa nimemuharibu mtoto?
Teh!Unakuta mtoa posti ni Lizaboni kakaa getto kwake anawachezesha akili tu...
Sikuhz Ccm hawana hoja
Jan 20, 2017;
Huyu mwanaume ananipenda kweli?
Aug 4, 2017;
Huyu mwanaume simwelewi kabisa
Sep 19, 2017;
Wapi nitapata dawa hii ya kuongeza 'shepu'?
July 31, 2015;
Je, nitakuwa nimemuharibu mtoto?