Kumbe jibu lipo , au ulitaka huyo mwanaume apigwe na baridihatufanani
"plover" ndo nini? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Sasa unajijua unakaa makambako kilichokufanya uende dukani bila kuvaa plover ni nini?
sawaYaani ndio kwanza MLUPO tu, una ngebe kama umekatwa VAT isiokuhusu! Je, ungekuwa mke!
alikua na extraKumbe jibu lipo , au ulitaka huyo mwanaume apigwe na baridi
Wanawake wana masweta , vikoyi , khanga , mitandiyo
Yani vyooote hivyo akuwan navyo ?
Mm naomba huyo mwanamke apelekwe mafinga kwa ajili ya kozi ya kuvumilia barid
Sweta zito[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]"plover" ndo nini? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
sikai makambakoSasa unajijua unakaa makambako kilichokufanya uende dukani bila kuvaa plover ni nini?
sawaGrace umeamua kuleta huku, anyway ukweli natafuta namna ya kukwambia sikutaki maana nimekuonyesha kwa vitendo huelewi
ndiokwa hiyo umejoin kwa ajili ya kulalamika kuhusu sweta
sawaMambo ya kuachiana nguo ya kizamani kinoma...
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]sasa haiandikwi hivyo bwanaSweta zito[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanaandikaje jamani pr au pl?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]sasa haiandikwi hivyo bwana
Mapenzi wanasema ni complex, wote wawili inabidi mjichunguze kwani unaweza kumlaumu yeye kumbe ni wewe kunakitu unafanya kwa kujua ama kutokujua kimesababisha nae aoneshe hisia zake negatively, so suluhisho ni kuongea nyinyi wawili kwa uwazi, mpate tatizo na ufumbuzi na mkumbushane na kuelimishana juu ya vikolombwezo vya mapenzi,kweli umenigusa sana, tupo wote miaka miwili na sijawahi kumuomba hela wala vitu vikubwa. Huwa nafurahi tu na vitu vidogo kama vile nkisahau kueka simu chaji af niamke nkute ameniekea basi tu nafurahi na vitu vingine vidogo vidogo.Ila siku hizi hayupo hivo tena.
sawa nitajaribuMapenzi wanasema ni complex, wote wawili inabidi mjichunguze kwani unaweza kumlaumu yeye kumbe ni wewe kunakitu unafanya kwa kujua ama kutokujua kimesababisha nae aoneshe hisia zake negatively, so suluhisho ni kuongea nyinyi wawili kwa uwazi, mpate tatizo na ufumbuzi na mkumbushane na kuelimishana juu ya vikolombwezo vya mapenzi,
acha tu dear,asanteMmmh pole dear hata ningekuwa mimi ningechukia..