Huyu mwanaume ana roho ngumu

Huyu mwanaume ana roho ngumu

Sasa ndo umeamua kuja kunisemea jf? ? Sasa sikupi nguo wala pesa ndo ivyo tena
 
Nimekua guest wa JF kwa muda mrefu mpaka yaliponikuta nikaamua kujoin chama la wana rasmi.
Kuna vitu ambavyo vinatokea katika mahusiano yangu vinanikwaza,vipo vingi ila wiki ilopita ndo nliumia zaidi.
Tulitoka dukani(my boyfriend and I) sa njiani nkaanza kuskia baridi sana,nkamwomba sweta lake alokua amevaa mana ye at least alivaa nguo nzito ndani ila alininyima.Nliumia nkajiuliza ina mana hawezi kusacrifice for me kwa distance fup ilobaki kutoka dukani hadi home? akati ingekua mm ningempa bila kusita.
Huyo mwanaume wako atakuwa ana homa kali sana...hebu jaribu kukaa naye karibu akuelezee hali anayojisikia.
 
wewe naye!!! sasa sweta tu umekuja kulalamika siku ukimfumania si utaongea na vyombo/waandishi wa habari!!!

au ulikuwa unajifunza kuanzisha threat humu!!!!!
 
Mmh!wewe mwanamke!!!!??hapana.hauna sifa za kuwa mke.
 
wewe naye!!! sasa sweta tu umekuja kulalamika siku ukimfumania si utaongea na vyombo/waandishi wa habari!!!

au ulikuwa unajifunza kuanzisha threat humu!!!!!
ndio nitaitisha press kabisa
 
Mapenzi ya hivyo wanayo wa [HASHTAG]#corea[/HASHTAG] tu. Tz ubabe mwingi
 
Unnecessary complain. Nafikiri bado unakua, utaacha tuu majukum yakianza
 
Pole sana Dada njoo kwang. Ntakujar sana na sweta utapata. Ni pm basi
 
Back
Top Bottom