hanipagi helaHapo ungenyimwa pesa je?????!!!!
Hata hivyo alikukomaza ili upunguze kudekadeka.
sikuvaa vimkandaUnavaa vimkanda ili umvue mwenzako yakikushinda?
mmh yaani sweta tu ndo unalalamika hivo???
Ahaaàaaa haaaaa jikaze sweta tu je?
Sipo kuwatetea kabisa wanawake , never, ila tusimame kwenye haki na ukweli:Sku akikunyima unyumba si ndiyo utazimia kabisa!
ndio hiyoKuunyima sweta tu ndo unasema anaroho ngumu!!!!! Unaijua roho ngumu kweli?
nilibanwa ghaflaKwann usivae kuendana na mazingira?
asanteNitafanyaje sasa inabidi nikukaribishe tu.
sio kwa sweta mm nikadhani ulimfumania duuuundio
got any prob with thatWw mwanamke mjinga sana yani sweta ndyo limekufanya uharibu MB zako?
sio u movieHuu ufilipino na ukorea na uistagram unatuharibia tamaduni zetu, endelea mapenzi ya movie utamchukia kila mwanaume.
ndiosio kwa sweta mm nikadhani ulimfumania duuuu
Ndio maana unamuita boyfriend, kumbe ni boy kwelikweli hata siku nikiwa mwezini anamaind kweli
siangaliagi me wa bongo movie tuHahahaha, kwani bibie hukufika mlikokua mnaenda?. Hebu kaeni mzungumze, huenda mwenzio hajui umuhimu wa hivyo vitu, kucare ni kipaji ujue na ma play boy ndo wanaongoza kwa hicho kipaji. Alafu uache kuangalia sana muvi za Kifilipino na Kikorea zinapoteza watu sana.
Inategemea na Lugha uliyotumiaNimekua guest wa JF kwa muda mrefu mpaka yaliponikuta nikaamua kujoin chama la wana rasmi.
Kuna vitu ambavyo vinatokea katika mahusiano yangu vinanikwaza,vipo vingi ila wiki ilopita ndo nliumia zaidi.
Tulitoka dukani(my boyfriend and I) sa njiani nkaanza kuskia baridi sana,nkamwomba sweta lake alokua amevaa mana ye at least alivaa nguo nzito ndani ila alininyima.Nliumia nkajiuliza ina mana hawezi kusacrifice for me kwa distance fup ilobaki kutoka dukani hadi home? akati ingekua mm ningempa bila kusita.
Basi kuna jambo lingine, atakuwa hana umate umatesio u movie
Pole sana.nina asthma nipo natumia kile kidude
kweli umenigusa sana, tupo wote miaka miwili na sijawahi kumuomba hela wala vitu vikubwa. Huwa nafurahi tu na vitu vidogo kama vile nkisahau kueka simu chaji af niamke nkute ameniekea basi tu nafurahi na vitu vingine vidogo vidogo.Ila siku hizi hayupo hivo tena.Sipo kuwatetea kabisa wanawake , never, ila tusimame kwenye haki na ukweli:
Mapenzi hujengwa kwa maneno madogo tu ambayo ni Samahani, Pole, na Nakupenda,
Mtu asieelewa anafikiri mpaka afanye jambo kubwa kumuonyesha mwenzie kuwa anampenda kumbe ni yale yale madogo unayoyadharau ndio yanampa mwenzio kujisikia unampenda ama kuanza kuhisi humpendi, sasa wewe unapofanya hivyo mara mdada huyo kakutana na mkaka mstaarabu kwenye hivyo hivyo vitu vidogo mfano , unadhani ataacha kuvutiwa nae,
Wamama wanashauriwa wawe na mahaba kwa waume zao watokapo kazini, mfano kumpokea, kumvua koti ama tai, n.k, wasipofanya mchepuko unafanya hivyohivyo wanavyoviona vidogo penzi linahamia kwa mchepuko,
VITU VIDOGO NDIO HUUMBA VIKUBWA MSIMKATISHE TAMAA HUYU DADA YUKO SAWA, USHAURI AVIANGALIE HIVYO VIASHIRIA VIDOGO VIDOGO ILI AJUE KAMA PENZI NI SERIOUS AMA LA, NA WAFUNDISHANE PSYCHOLOJIA YA MAPENZI LABDA MWENZIE HANA MAARIFA HAYO, ILA AKIGOMA KUBADILIKA, AKILI KUMKICHWA DADAA![emoji125][emoji125][emoji125]