Huyu mwanaume ana roho ngumu

Huyu mwanaume ana roho ngumu

Unakosa uvumilivu kabisa kwa jambo dogo tu, ndoa utaiweza kweli wewe?
 
Nimekua guest wa JF kwa muda mrefu mpaka yaliponikuta nikaamua kujoin chama la wana rasmi.
Kuna vitu ambavyo vinatokea katika mahusiano yangu vinanikwaza,vipo vingi ila wiki ilopita ndo nliumia zaidi.
Tulitoka dukani(my boyfriend and I) sa njiani nkaanza kuskia baridi sana,nkamwomba sweta lake alokua amevaa mana ye at least alivaa nguo nzito ndani ila alininyima.Nliumia nkajiuliza ina mana hawezi kusacrifice for me kwa distance fup ilobaki kutoka dukani hadi home? akati ingekua mm ningempa bila kusita.
Wewe kwanini usinunue la kwako?umaskin unakusumbua
 
Nimekua guest wa JF kwa muda mrefu mpaka yaliponikuta nikaamua kujoin chama la wana rasmi.
Kuna vitu ambavyo vinatokea katika mahusiano yangu vinanikwaza,vipo vingi ila wiki ilopita ndo nliumia zaidi.
Tulitoka dukani(my boyfriend and I) sa njiani nkaanza kuskia baridi sana,nkamwomba sweta lake alokua amevaa mana ye at least alivaa nguo nzito ndani ila alininyima.Nliumia nkajiuliza ina mana hawezi kusacrifice for me kwa distance fup ilobaki kutoka dukani hadi home? akati ingekua mm ningempa bila kusita.
Wewe ulishindwaje kuvumilia hako kaumbali
Yani wanawake wa mjini ni Matatzo unshindwa kuvumilia baridi la dakika 5 ?
Wakat kuna mwenzako mwanamke wa Mafinga anafungiwa nje na Mme wake usiku mzma na kesho yake maisha yanaendelea tena kwa nizamu ya juu ,
 
Nimekua guest wa JF kwa muda mrefu mpaka yaliponikuta nikaamua kujoin chama la wana rasmi.
Kuna vitu ambavyo vinatokea katika mahusiano yangu vinanikwaza,vipo vingi ila wiki ilopita ndo nliumia zaidi.
Tulitoka dukani(my boyfriend and I) sa njiani nkaanza kuskia baridi sana,nkamwomba sweta lake alokua amevaa mana ye at least alivaa nguo nzito ndani ila alininyima.Nliumia nkajiuliza ina mana hawezi kusacrifice for me kwa distance fup ilobaki kutoka dukani hadi home? akati ingekua mm ningempa bila kusita.
Mmmmmh
Jaman beibiii.
Kwani we huwezi kusacrifice just a lilo kwajili yang...mana hata mm nilihisi baridii.

Alafuu...kama huwa vingi vinakukwazaa Na unakaa kimyaa...hili la sweta limekushindajee!!?

Na kama uliumia kias hiki why usinambie mama anguu
Huku jamii forum...hakuna maswetaa wala mahakama ya wapenzi wasiojali.

We kama umechokaa usiumie sana niache tuuu.. Vinginevyo endelea kuvumilia mana kiukweli unafiki sipendi
Hasa wakati wa baridi.
Afu punguza kudekaa.. Sawa bebiii...!!!..
Haya byee...mtoto mzuri...ntakununulia sweta eeeh
 
Wewe ulishindwaje kuvumilia hako kaumbali
Yani wanawake wa mjini ni Matatzo unshindwa kuvumilia baridi la dakika 5 ?
Wakat kuna mwenzako mwanamke wa Mafinga anafungiwa nje na Mme wake usiku mzma na kesho yake maisha yanaendelea tena kwa nizamu ya juu ,
hatufanani
 
Mmmmmh
Jaman beibiii.
Kwani we huwezi kusacrifice just a lilo kwajili yang...mana hata mm nilihisi baridii.

Alafuu...kama huwa vingi vinakukwazaa Na unakaa kimyaa...hili la sweta limekushindajee!!?

Na kama uliumia kias hiki why usinambie mama anguu
Huku jamii forum...hakuna maswetaa wala mahakama ya wapenzi wasiojali.

We kama umechokaa usiumie sana niache tuuu.. Vinginevyo endelea kuvumilia mana kiukweli unafiki sipendi
Hasa wakati wa baridi.
Afu punguza kudekaa.. Sawa bebiii...!!!..
Haya byee...mtoto mzuri...ntakununulia sweta eeeh
"hakuna mahakama ya wapenzi wasiojali"

asante kumbe hanijali,now i know
 
Nimekua guest wa JF kwa muda mrefu mpaka yaliponikuta nikaamua kujoin chama la wana rasmi.
Kuna vitu ambavyo vinatokea katika mahusiano yangu vinanikwaza,vipo vingi ila wiki ilopita ndo nliumia zaidi.
Tulitoka dukani(my boyfriend and I) sa njiani nkaanza kuskia baridi sana,nkamwomba sweta lake alokua amevaa mana ye at least alivaa nguo nzito ndani ila alininyima.Nliumia nkajiuliza ina mana hawezi kusacrifice for me kwa distance fup ilobaki kutoka dukani hadi home? akati ingekua mm ningempa bila kusita.

labda mwenzio ana ngiri ndo maana kaogopa baridi
 
Back
Top Bottom