Huyu mwanaume ana roho ngumu

Huyu mwanaume ana roho ngumu

sawa nitajaribu
Ndio hatua ya kwanza ya uchunguzi na itakufikisha kwenye uamuzi sahihi weww mwenyewe uamue ama uendelee nae akibadilika ama kama atadumu hivyo hivyo muda mrefu nafsi yako itaamua, maana ss hatunauwezo wa.kuvunja mapenzi, ni baina ya watu wawili, ila muwe na tabia ya kuwasiliana kwa uwazi ili muepushe mengi kwani bila kusema mwenzio sio malaika atajuaje, utaumia bure nafsi, communication makes love strong,
 
wakati ulipoona mwenzako anavaa Sweta we ulielewa nn? acheni kupenda mteremko kwa kila jambo
 
Daima kitu kidogo huharibu mapenzi, take it easy, but dont keep quite weiting for revenge, utaharibu kila kitu.

Cha msingi tu be humble and let such scenerio pass back..

Never take a lokie behind but take a lokie forwad for caring a future which is important to you.
 
Wanawake wanakasirishwa na tu vitu tudoogo ambato hata huwezi tuzania
 
Aiseee [emoji15]naona kila mtu anamshangaa huyu binti. Mapenzi kitu cha ajabu sana huyo mshkaji inaonyesha amekukinai ndo maana ameshindwa kukujali, mapenzi yanajengwa na vitu vidogo vidogo na yanavunjwa na vitu vidogo vidogo sanaa [emoji22]ukiona humuelewi karibu tuliwazane [emoji13][emoji13]
 
Achana na tamthilia.zinakuharibu..hlf type hiyo ya wanaume uwaga watamu htr
 
Kwamba kwa nini alishindwa kusacrifice kwa umbali mfupi uliokuwa umebaki
Je wew kwa nn ulishindwa kuvumilia kwa huo umbali mfupi??
Aisee nawachukia wanawake wanaojiona special kiliko wenza wao.Afu sio kwamba alikunyima ila alikukumbusha next time ukienda shambani nenda na jembe lako
 
Mapenzi ya kwenye tamthilia za kikorea...

Utoke nyumbani na kitopu Chako, uanze kusumbua watu njiani... Tena angekurukisha kichura chura baridi likutoke...


Cc: mahondaw
 
SmartSmartpost: 21970154 said:
Mapenzi ya kwenye tamthilia za kikorea...

Utoke nyumbani na kitopu Chako, uanze kusumbua watu njiani... Tena angekurukisha kichura chura baridi likutoke...


Cc: mahondaw

Thanks God Smart911 my king huwa ananikumbusha kubeba sweta in case of emergency!!
 
haya mapenzi ya digital bwana wewe unalalamika kunyimwa sweta mkiwa mmetoka dukani pamoja,wengine hata kwenda dukani pamoja hakuna...appreciate what you got...

hakuna
 
Back
Top Bottom