Huyu mwanamke sijui anafikiria nini!

Huyu mwanamke sijui anafikiria nini!

sir kiduku

Senior Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
101
Reaction score
262
Habar wanaJF bila kupoteza muda ngoja niende moja kwa moja kwenye mada.

Kuna mwanamke nilimpenda sana in short wote tulipendana sana lakini tulikuwa mbali mbali miezi mitatu(tulikuwa kwenye mapenzi ya mbali kwa miezi 3) tangia niwe nae na kuja kukutana naye.

Lakini mambo yakaanza kubadilika tu pindi tulipokuwa karibu akawa hapendi kuongea sana na mimi mambo yalizidi kuwa mabaya had I ikafka hatua ananikaushia tu nikimuuliza sababu anajitetea ana kazi nyingi

Sasa imefika hatua hanitafuti hadi nimtafute mimi na muda mwingine nikimtafuta hanijibu hata siku 4 hadi nafikiria sijui nimuache au vipi

Sema sitaki kumuacha mapema hii wakati bado sijapata papuchi.

Ushauri wenu wadau
 
Hutaki kumuacha , wakati yeye amesha kuacha!!
Au had akuambie
Habar wa jf bla kupoteza mda ngoja niende moja kwa1 kwenye maada

Kuna mwanamke nlmpenda sana in short wote 2lipendana sana lakn 2lkuwa mbal mbal miez mitatu(2likuwa kwenye mapenz ya mbal kwa miez3) tangia niwe nae na kuja kukutana naye...

Lakini mambo yakaanza kubadilika tu pindi tulipo kuwa karibu akawa hapendi kuongea sana na mm mambo yalizidi kuwa mabaya had I ikafka hatua anankaushia tu nkimuulza sababu anajitetea ana kaz nyng

Sasa imefka hatua hanitafut hadi nmtafute mimi na mda mwingine nkimtafuta hanijibu hata siku 4 hadi nafkria sijui nimuache au vp

Sema sitaki kumuacha mapema hii wakati bado cjapata papuch......ushaur wenu wadau
 
Back
Top Bottom