Kung fu panda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 748
- 789
hapa nimejifunza tuwaheshimu wazazi na walimu tuwapo shule
😀😀😀Hata katiba mpya ya Mabaharia iliyofanyiwa marekebsho mwaka huu inakataza
but inakuwa ngumu coz ndo my first loverHutaki kumuacha , wakati yeye amesha kuacha!!
Au had akuambie
ufafanuz zaid please tujifunze wotehapa nimejifunza tuwaheshimu wazazi na walimu tuwapo shule
Habar wa jf bla kupoteza mda ngoja niende moja kwa1 kwenye maada
Kuna mwanamke nlmpenda sana in short wote 2lipendana sana lakn 2lkuwa mbal mbal miez mitatu(2likuwa kwenye mapenz ya mbal kwa miez3) tangia niwe nae na kuja kukutana naye...
Lakini mambo yakaanza kubadilika tu pindi tulipo kuwa karibu akawa hapendi kuongea sana na mm mambo yalizidi kuwa mabaya had I ikafka hatua anankaushia tu nkimuulza sababu anajitetea ana kaz nyng
Sasa imefka hatua hanitafut hadi nmtafute mimi na mda mwingine nkimtafuta hanijibu hata siku 4 hadi nafkria sijui nimuache au vp
Sema sitaki kumuacha mapema hii wakati bado cjapata papuch......ushaur wenu wadau
Tayari msiba huu...hajawai kunipa
Ni kweli kuajiriwa kuna mwisho na kujiajiri hakuna mwisho kama utajipanga vizuri.Tunachohitaji ni uhuru wa kifedha.Mambo ni mengii kwa kweli!
Jitahidi tuu, maana siku hizi bila kuwa na biashara nje ya ajira yako huwezi kufanya la maana.
asante mkuu
Usijali utamuoa bila dalili. Subiri upepo wa kisulisulihajawai kunipa
Hakika MkuuNi kweli kuajiriwa kuna mwisho na kujiajiri hakuna mwisho kama utajipanga vizuri.Tunachohitaji ni uhuru wa kifedha.
Ushaachwa au unasubiri uambiwe[emoji23][emoji23][emoji23]Habar wa jf bla kupoteza mda ngoja niende moja kwa1 kwenye maada
Kuna mwanamke nlmpenda sana in short wote 2lipendana sana lakn 2lkuwa mbal mbal miez mitatu(2likuwa kwenye mapenz ya mbal kwa miez3) tangia niwe nae na kuja kukutana naye...
Lakini mambo yakaanza kubadilika tu pindi tulipo kuwa karibu akawa hapendi kuongea sana na mm mambo yalizidi kuwa mabaya had I ikafka hatua anankaushia tu nkimuulza sababu anajitetea ana kaz nyng
Sasa imefka hatua hanitafut hadi nmtafute mimi na mda mwingine nkimtafuta hanijibu hata siku 4 hadi nafkria sijui nimuache au vp
Sema sitaki kumuacha mapema hii wakati bado cjapata papuch......ushaur wenu wadau
kwànn mkuuKwa uandishi wako huu, ana haki ya kukukalia kimya ikiwezekana kukuacha kabisa.
Hakuna mwanaume hapa, hata ingekuwa mimi ningepiga kimya
hahahahahah.....Wee ndo unamakosa. Kwanini hukumtimizia ahadi uliyomuahidi?.
Nakushauri mnunulie hata tekno atatulia tu, baadae utaanze kujilia mafao kiulaiiiini. [emoji125][emoji125][emoji125]
Hujui!?kwànn mkuu
Dah hivi ukiwa unaongea wa wenzio unaniita malaya?Katika kanuni za kibaharia Ibara ya 7 kifungu b. kinasema....
"baharia hatajipendekeza kwa malaya hata kama anamhusudu, iwe kwa hali au mali. Malaya ndio anatakiwa kujikomba kwa baharia tu ili kuimarisha mahusiano"
Sasa we umeshavunja hii ibara mzee meko. Hapo tafta malaya mwengine tu.