Huyu mwanamke kanitapeli

Huyu mwanamke kanitapeli

Mkuu umetapiliwa kikubwa.....kikubwa tambua kuwa umebet hizo hela
 
Nauli nimetuma tshs. 22,000/=

Vocha hizi zinafika tshs. 13,000/=

Hela za chipsi nimetuma mara nne tshs. 20,000/=

Je ndogo hizo???
Yaan uliji race ivyo? yaani umeamua kumpa mtaji mwenzio huo ni mtaji tosha
 
Habari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.

Alikuwa anapita meneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za sim, sikukawia nikatangaza shida zangu.

Naye akanielewa, sasa ikawa nimtumie nauli tukutane faragha. Nikamtumia nauli cha ajabu hakuja na kila nikipiga sim hapokei.

Baadae akaja kupokea mtu ananambia mwenye sim kaenda kuoga.

Je nifanyeje jamani, nauli nimetuma vocha ndo usiseme nimemtumia sana hela za chipsi nimetuma sana.

Ni hayo tu....
Jina lako ni jibu tosha mkuu
 
Habari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.

Alikuwa anapita meneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za sim, sikukawia nikatangaza shida zangu.

Naye akanielewa, sasa ikawa nimtumie nauli tukutane faragha. Nikamtumia nauli cha ajabu hakuja na kila nikipiga sim hapokei.

Baadae akaja kupokea mtu ananambia mwenye sim kaenda kuoga.

Je nifanyeje jamani, nauli nimetuma vocha ndo usiseme nimemtumia sana hela za chipsi nimetuma sana.

Ni hayo tu....
Bado mdogo Sana. Hakua na mapenz kwako
 
Kama ni kweli Huyo mwanamke hajielewi.
Unaachaje kuendelea kumchuna mtu anayetuma hela kwa kuridhika na hela ya nauli??

Kwani angekupa k akaendelea kukulia hela kingeisha?
 
Habari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.

Alikuwa anapita meneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za sim, sikukawia nikatangaza shida zangu.

Naye akanielewa, sasa ikawa nimtumie nauli tukutane faragha. Nikamtumia nauli cha ajabu hakuja na kila nikipiga sim hapokei.

Baadae akaja kupokea mtu ananambia mwenye sim kaenda kuoga.

Je nifanyeje jamani, nauli nimetuma vocha ndo usiseme nimemtumia sana hela za chipsi nimetuma sana.

Ni hayo tu....
Ulijilegeza sana.
 
Kama ni kweli Huyo mwanamke hajielewi.
Unaachaje kuendelea kumchuna mtu anayetuma hela kwa kuridhika na hela ya nauli??

Kwani angekupa k akaendelea kukulia hela kingeisha?
Hajielewi kabisaa mkuu, na alijua kunilegeza maana kila akiomba natuma.
 
Back
Top Bottom