mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,570
- 6,433
hahahahaha ulivokuwa unazitoa ulikuwa unajua tumeshafanya uchaguzi JPM katoka ee??Nyagei:
Sawa mkuu ila pesa inauma na unajua rais ni nani sasa hivi
hahahahaha ulivokuwa unazitoa ulikuwa unajua tumeshafanya uchaguzi JPM katoka ee??Nyagei:
Sawa mkuu ila pesa inauma na unajua rais ni nani sasa hivi
Sasaaa hadi unatoa si kwamba ulikuwa nazo.Nyagei:
Sawa mkuu ila pesa inauma na unajua rais ni nani sasa hivi
Nikutumie hela ya nauli dear?Acha kulalamika hela tu ya chipsi ndo inakutoa povu, ungehonga gari je?
Hilo ni fundisho hope sikunyngne huez rudia



Ndio hapo sasa. Yaani hastahili kulalamika kwa aina yeyote. Kwa sababu sidhani kama kila anayeomba lazima apewe.hahahahaha ulivokuwa unazitoa ulikuwa unajua tumeshafanya uchaguzi JPM katoka ee??
Utakuta 2000 ya bajaji.Umetuma shlng ngapi nikurudishie unipe hiyo namba
mtzmweusi:we ni mjinga. aana mkuu unatumaje hela mtu humjui ni dada yako yule au mama yako?sikuhzi biashara ni tit for tat anakuja unakula mzigo ndo unatoa hela pole sana
Jabman:Huhitaji Msaada wowote wewe. Futa Uzi huu utaambulia matusi tu.
Nauli nimetuma tshs. 22,000/=Umetuma shlng ngapi nikurudishie unipe hiyo namba
halafu hapo naamini alikuwa anacheza kwenye faida tu.Ndio hapo sasa. Yaani hastahili kulalamika kwa aina yeyote. Kwa sababu sidhani kama kila anayeomba lazima apewe.
emmyta:Utakuta 2000 ya bajaji.
Teh teh teh
hahaha nyingi mkuu, ila assume umempa mshikaji wakoNauli nimetuma tshs. 22,000/=
Vocha hizi zinafika tshs. 13,000/=
Hela za chipsi nimetuma mara nne tshs. 20,000/=
Je ndogo hizo???
Ulimtumia sh ngapi mkuu?Habari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.
Alikuwa anapita meneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za sim, sikukawia nikatangaza shida zangu.
Naye akanielewa, sasa ikawa nimtumie nauli tukutane faragha. Nikamtumia nauli cha ajabu hakuja na kila nikipiga sim hapokei.
Baadae akaja kupokea mtu ananambia mwenye sim kaenda kuoga.
Je nifanyeje jamani, nauli nimetuma vocha ndo usiseme nimemtumia sana hela za chipsi nimetuma sana.
Ni hayo tu....
Mkuu hapo si ulikua unahudumia kabisa kama mke wako tu sasa mpe talaka 3 akome kabisaNauli nimetuma tshs. 22,000/=
Vocha hizi zinafika tshs. 13,000/=
Hela za chipsi nimetuma mara nne tshs. 20,000/=
Je ndogo hizo???
Sasa mkuu kama kila ukiombwa unatowa unategemea nini hapo.halafu hapo naamini alikuwa anacheza kwenye faida tu.
Ila na nyie mumezidi mkuu, mmekuwa omba omba sana utafikiri wote yatima vile khaa, mpunguze aisee........
thasit:
Yule msichana nilimpenda sana, na mda mfupi alinielezea shida nyingi sana.
Nikaingia huruma na kama unavyojua wanaume ni dhaifu kwa wanawake
Mjin shule..... pole kwa kutapeliwa kirahis... siku nyingine uwe mjanja.Habari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.
Alikuwa anapita meneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za sim, sikukawia nikatangaza shida zangu.
Naye akanielewa, sasa ikawa nimtumie nauli tukutane faragha. Nikamtumia nauli cha ajabu hakuja na kila nikipiga sim hapokei.
Baadae akaja kupokea mtu ananambia mwenye sim kaenda kuoga.
Je nifanyeje jamani, nauli nimetuma vocha ndo usiseme nimemtumia sana hela za chipsi nimetuma sana.
Ni hayo tu....
Tatizo umelitengeneza wewe mkuuNyagei:
Sawa mkuu ila pesa inauma na unajua rais ni nani sasa hivi
Keep waitinghahahaha I expected to meet this response