Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,095
- 122,457
Mbinu ndio nzuri zaidi ili tuzidi kudumu hizo pesa ni kionjo tu.Mnapenda pesa au Mnapenda mbinu!!!
Mbinu ndio nzuri zaidi ili tuzidi kudumu hizo pesa ni kionjo tu.Mnapenda pesa au Mnapenda mbinu!!!
Hasara roho pesa inatafutwaHuo zaidi ya ubwege na utaibiwa sana hadi uwe mwanamme suruali
Mimi nimepigwa mshahara wa miezi miwili kwa kujipendekeza tu wala hakuniomba na sijaona ndani, lengo lilikuwa kumuonesha upendo kumbe nilikuwa namuonesha ufala pasipo kujua , kila nikitaka mzigo naambiwa nitulie nisiwe na haraka![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
polee.Mwanamme wa dar utakuwa weweHabari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.
Alikuwa anapita maeneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za simu, sikukawia nikatangaza shida zangu.
Naye akanielewa, sasa ikawa nimtumie nauli tukutane faragha. Nikamtumia nauli cha ajabu hakuja na kila nikipiga sim hapokei.
Baadae akaja kupokea mtu ananambia mwenye sim kaenda kuoga.
Je nifanyeje jamani, nauli nimetuma vocha ndo usiseme nimemtumia sana hela za chipsi nimetuma sana.
Ni hayo tu....
si kila anaetapeliwa ni msukumaWasukuma karibun mjin wasumbolo tunawasubir
Umenichekesha et umempiga mkono hahaaa mambo ya trafik naww umepigwa bao la mkonoHabari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.
Alikuwa anapita maeneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za simu, sikukawia nikatangaza shida zangu.
Naye akanielewa, sasa ikawa nimtumie nauli tukutane faragha. Nikamtumia nauli cha ajabu hakuja na kila nikipiga sim hapokei.
Baadae akaja kupokea mtu ananambia mwenye sim kaenda kuoga.
Je nifanyeje jamani, nauli nimetuma vocha ndo usiseme nimemtumia sana hela za chipsi nimetuma sana.
Ni hayo tu....

Faili lake nishalifunga....nimemtumbuaMtumie tumie atakuja akishajazia jazia
Iko siku atanitafuta tu...Umenichekesha et umempiga mkono hahaaa mambo ya trafik naww umepigwa bao la mkono![]()
![]()