mxsdk:Acha kudate na vibinti!vina njaaa!
Kakojoe ulale mkuu.Nauli nimetuma tshs. 22,000/=
Vocha hizi zinafika tshs. 13,000/=
Hela za chipsi nimetuma mara nne tshs. 20,000/=
Je ndogo hizo???
Haisaidii sasa anakuwa ameshashindwa kujiongeza tangu mwanzo hivyo ni vyema maumivu angebaki nayo tu kwani hapa naona anajitonesha vidonda vyake.nahisi mapenzi ya huo utoaji lengo huwa ni win win situation na siyo ya kuwini mmoja mwingine apoteze kama jamaa alivopoteza halafu mdada kageini,
sasa ikishatokea ya mmoja kupoteza ndo kama ivi wanakuja kuomba njia ya kupita ili aifikie win win situation
Kabisa. Atulizane tu yaaniHujatapeliwa ebu rekebisha kauli na alafu siku nyingine acha pupa
Endelea kumtumia atakuja tu mana hela kazi ndio hiyoHabari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.
Alikuwa anapita meneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za sim, sikukawia nikatangaza shida zangu.
Naye akanielewa, sasa ikawa nimtumie nauli tukutane faragha. Nikamtumia nauli cha ajabu hakuja na kila nikipiga sim hapokei.
Baadae akaja kupokea mtu ananambia mwenye sim kaenda kuoga.
Je nifanyeje jamani, nauli nimetuma vocha ndo usiseme nimemtumia sana hela za chipsi nimetuma sana.
Ni hayo tu....
Mkuu huyo alitaka kujionyesha kwamba anazo na mwenzie akapatia hapo hapo.Mbn ulifanya mengi mapema?? Km anataka nauli ungemwambia aazime sehem aje, akiondoka utampa akalipe.
ulimtumia sh ngapi? Maana tunaweza kuwa tunaharibu mb zetu kumbe elfu kumi.Lwasu:
Alikataa, nilimshauri pia akope kwa mtu akija namrudishia akaanza kuniwakia ati kwanini simuamini
Hawa dawa yao kuwa kauzu tu hakuna kutoa hela na ikiwezekana kula kwa mkopo au fanya kama huyu jamaayajutu:
We acha tu mkuu tatizo pesa yangu ndo inaniuma
juvenile davis:Ungemwambia akope,japo huwa hawakubali hilo,ila pole.umetapeliwa kiasi gani mkuu? Sio umetuma kielfu 20 ndio unakianzishia uzi hapa
hahahhahahaha dawa kula kwa mkopoHawa dawa yao kuwa kauzu tu hakuna kutoa hela na ikiwezekana kula kwa mkopo au fanya kama huyu jamaa![]()
ndo zako hizo eehNauli na chips tuu unalialia je ungehonga simu![]()