Huyu mwanamke kanitapeli

Huyu mwanamke kanitapeli

Usipende wanawake wapita njia iko siku utalipiga mkono jini utaona mauza mauza yake lakini pole kwa hilo lililokupata
 
Nyagei:
ID sio tatizo mkuu, tatizo ni kumuamini sana.

Unajua biashara zetu za pesa mitandaoni muda mwingi tuko kazini.

Sasa kutoka inakuwa ngumu that's why nikaona nimvute yeye aje mpaka ofisini then nimpeleke Old Trafford
Na hilo ndio kosa kubwa ulilolifanya yeye aende OT wakati wewe bado upo Carrington wapi na wapi

Kikubwa tu kubali umeshaliwa hakuna namna kulia lia hakutokusaidia chochote, assume umetoa fungu la kumi endelea Kupiga kazi uzifidie ulizochezea kwa manzi kwa kigezo cha huruma
 
Hawa dawa yao kuwa kauzu tu hakuna kutoa hela na ikiwezekana kula kwa mkopo au fanya kama huyu jamaa
ed34459f77515073dbf36c86cf0a441b.jpg
 
Bora umeniunga mkono....ila wanaume Mungu anatuona.

Hapa kuna baadhi wataniona bwege ila wengi wetu tumetapeliwa sana.

Ukweli ndo huo
Na ubwege wako umekuja baada ya kuongea laiti na wewe ungeamua kimya wala usingekuwa bwege
 
Habari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.

Alikuwa anapita meneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za sim, sikukawia nikatangaza shida zangu.

Naye akanielewa, sasa ikawa nimtumie nauli tukutane faragha. Nikamtumia nauli cha ajabu hakuja na kila nikipiga sim hapokei.

Baadae akaja kupokea mtu ananambia mwenye sim kaenda kuoga.

Je nifanyeje jamani, nauli nimetuma vocha ndo usiseme nimemtumia sana hela za chipsi nimetuma sana.

Ni hayo tu....
Shida yako una haraka sana, mtu kaenda kuoga wewe unachachawa, ulitaka apokee simu chooni? Alafu hujasema nauli ulimpa bei gani.
 
Back
Top Bottom