Black Book
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 228
- 209
wanaume wengi tumetapeliwa sana hivyo vi nauli...
emmyta:
Mi mtu fulani nina huruma sana sana, nataka nikuhakikishie ata kama inatokea nikawa nawewe hutajuta.
Ni PM

Nimeshangaa anakuonea huruma na weweUmeonaee akae tu kimya ila ndio ajifunze. Pia nionavyo itakuwa hana mbinu za kudumisha penzi hivyo akaona pesa ndio kila kitu
Imekula kwake hiyo.

Bora umeniunga mkono....ila wanaume Mungu anatuona.wanaume wengi tumetapeliwa sana hivyo vi nauli...
Na hilo ndio kosa kubwa ulilolifanya yeye aende OT wakati wewe bado upo Carrington wapi na wapiNyagei:
ID sio tatizo mkuu, tatizo ni kumuamini sana.
Unajua biashara zetu za pesa mitandaoni muda mwingi tuko kazini.
Sasa kutoka inakuwa ngumu that's why nikaona nimvute yeye aje mpaka ofisini then nimpeleke Old Trafford
Hawa dawa yao kuwa kauzu tu hakuna kutoa hela na ikiwezekana kula kwa mkopo au fanya kama huyu jamaa![]()

Baadhi yenu mkuuBora umeniunga mkono....ila wanaume Mungu anatuona.
Hapa kuna baadhi wataniona bwege ila wengi wetu tumetapeliwa sana.
Ukweli ndo huo
Hahahaaa!Nimeshangaa anakuonea huruma na wewe
![]()
![]()
![]()
Castr:Leo mkuu utajit0mba mwenyewe.
Hawajui cha kufanya ili wapendwe. Wanaachia pesa ndio iongeeBaadhi yenu mkuu
Na wengi ni malimbukeni wa mapenzi
emmyta:Hawajui cha kufanya ili wapendwe. Wanaachia pesa ndio iongee
Na ubwege wako umekuja baada ya kuongea laiti na wewe ungeamua kimya wala usingekuwa bwegeBora umeniunga mkono....ila wanaume Mungu anatuona.
Hapa kuna baadhi wataniona bwege ila wengi wetu tumetapeliwa sana.
Ukweli ndo huo
Hahahaa! Huyo ombaomba ungemnyima wala asingeendelea kukuomba angesha acha.emmyta:
tatizo lao ni ombaomba
Shida yako una haraka sana, mtu kaenda kuoga wewe unachachawa, ulitaka apokee simu chooni? Alafu hujasema nauli ulimpa bei gani.Habari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.
Alikuwa anapita meneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za sim, sikukawia nikatangaza shida zangu.
Naye akanielewa, sasa ikawa nimtumie nauli tukutane faragha. Nikamtumia nauli cha ajabu hakuja na kila nikipiga sim hapokei.
Baadae akaja kupokea mtu ananambia mwenye sim kaenda kuoga.
Je nifanyeje jamani, nauli nimetuma vocha ndo usiseme nimemtumia sana hela za chipsi nimetuma sana.
Ni hayo tu....
Hapo nipo sirias na nimekupa suluhisho ambalo wenzako wote hua tunalitumia tunapotuma nauli halafu mtu hatokei.Castr:
Uwege serious
emmyta:Na ubwege wako umekuja baada ya kuongea lati na wewe ungeamua kimya wala usingekuwa bwege