mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,570
- 6,433
duuh kumbe ndo tabia zenu ee, mtawaumiza sana hao watu......Sasa mkuu kama kila ukiombwa unatowa unategemea nini hapo.
Siku zote mazowea huwa tabia hamjui tu
ndo nimeanza kuona raha ya kuwa MTAWA
duuh kumbe ndo tabia zenu ee, mtawaumiza sana hao watu......Sasa mkuu kama kila ukiombwa unatowa unategemea nini hapo.
Siku zote mazowea huwa tabia hamjui tu
kaseva:Ulimtumia sh ngapi mkuu?
yajutu:Mkuu hapo si ulikua unahudumia kabisa kama mke wako tu sasa mpe talaka 3 akome kabisa
Akili iliongozwa kutokea chinihahahahaha ulivokuwa unazitoa ulikuwa unajua tumeshafanya uchaguzi JPM katoka ee??
Aliwaza zaidi chiniSasaaa hadi unatoa si kwamba ulikuwa nazo.
Rais anahusikaje hapo?
Kuna vitu vya kushauri ila kwa hili acha tu atapeliweNdio hapo sasa. Yaani hastahili kulalamika kwa aina yeyote. Kwa sababu sidhani kama kila anayeomba lazima apewe.
Hawawezi kuumia kwa sababu walio wengi wanatoa kwa mapenzi yao hatuwalazimishi.duuh kumbe ndo tabia zenu ee, mtawaumiza sana hao watu......
ndo nimeanza kuona raha ya kuwa MTAWA
emmyta:Sasa mkuu kama kila ukiombwa unatowa unategemea nini hapo.
Siku zote mazowea huwa tabia hamjui tu
Ww ulijichanganya mkuu siku hizi akisema hana nauli tunawaambia chukua usafiri ( Pikipiki, tax or bajaji) ukifika nalipa mm. Pia hukupaswa kuanza kutuma pesa za vocha + chips wakati bado hujaonja .Next time utakuwa makini zaidiMO11: nafanyaje mkuu, yeye kama hanitaki angesema tu kuliko kunitapeli
kimbauz:brother usiongee generally kias hiko et wanaume ni dhaifu kwa wanawake.....sema" baadhi yetu sisi wanaume ni dhaifu kwa wanawake"
Pesa unayo mkuu endelea kutuma atakuja tuNauli nimetuma tshs. 22,000/=
Vocha hizi zinafika tshs. 13,000/=
Hela za chipsi nimetuma mara nne tshs. 20,000/=
Je ndogo hizo???
Detective J:Mjin shule..... pole kwa kutapeliwa kirahis... siku nyingine uwe mjanja.
Umeonaee akae tu kimya ila ndio ajifunze. Pia nionavyo itakuwa hana mbinu za kudumisha penzi hivyo akaona pesa ndio kila kituAkili iliongozwa kutokea chini
Aliwaza zaidi chini
Kuna vitu vya kushauri ila kwa hili acha tu atapeliwe
nahisi mapenzi ya huo utoaji lengo huwa ni win win situation na siyo ya kuwini mmoja mwingine apoteze kama jamaa alivopoteza halafu mdada kageini,Hawawezi kuumia kwa sababu walio wengi wanatoa kwa mapenzi yao hatuwalazimishi.
Nyagei:Tatizo umelitengeneza wewe mkuu
Kwanza ID yako inasadifu umerogwa wewe
Pili hukupaswa kuingia mzima mzima ulipaswa ujue location yake kisha umtembelee mitaa yake ili nauli isitumike labda elfu moja toka kwake mpaka hapo ulipopiga kambi.
Yasingetokea hayo mkuu
BTW jifunze kwa makosa yako
Hahahaaaa! Huruma itakuponza sasa.emmyta:
Mi mtu fulani nina huruma sana sana, nataka nikuhakikishie ata kama inatokea nikawa nawewe hutajuta.
Ni PM