MwanawaMUNGU41
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,052
- 749
Nipe adhabu yoyote lakini usiniroge tafadhali. nina familia inanitegemea... plz![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Wasichana wanaotafuta wachumba humu JF, siku mkikutana na Mshana jr. mtawaacha wachumba wenu wote. Mdogo wangu ni Handsome boy tena mpole sana kuliko anayoandika ya ulozi. Ila huyo mi nadhani ni aina ya kina Lizabon na Motochin vile.Mkuu sijui ni macho yangu lakini utanisamehe mi naona unafanana nae sura kwenye avatar yako hapo
Wasichana wanaotafuta wachumba humu JF, siku mkikutana na Mshana jr. mtawaacha wachumba wenu wote. Mdogo wangu ni Handsome boy tena mpole sana kuliko anayoandika ya ulozi. Ila huyo mi nadhani ni aina ya kina Lizabon na Motochin vile.
asante dada loh asavali umemaliza utata wotekumfananisha mtu hakuna uhusiano wowote na suala la wachumba, kabla ya kuandika maneno yako ungetumia muda kidogo kuangalia My Profile Page badala ya kukimbilia kujibu hivyo huku ukiwa umeninukuu.Wasichana wanaotafuta wachumba humu JF, siku mkikutana na Mshana jr. mtawaacha wachumba wenu wote. Mdogo wangu ni Handsome boy tena mpole sana kuliko anayoandika ya ulozi. Ila huyo mi nadhani ni aina ya kina Lizabon na Motochin vile.
Umeona ID yako hapo au una ID zaidi ya kumi?kumfananisha mtu hakuna uhusiano wowote na suala la wachumba, kabla ya kuandika maneno yako ungetumia muda kidogo kuangalia My Profile Page badala ya kukimbilia kujibu hivyo huku ukiwa umeninukuu.