Huyu mtu ni nani?

Huyu mtu ni nani?

kwahiyo mimi navaa blauzi za vitenge
No.....nimesema upana wa Sura yani muonekano hiyo miwani (upande wa juu tu) mambo ya blauz sijazungumzia lakini hata ukiangalia Avatar yako ambayo nimeitumia kulinganisha wewe umevaa shati.
 
Mmmh!Sio msukuma huyu???
2016-10-23-00-33-16-2136748277.jpeg
 
Mgosi, naona kuna jamaa kama watatu hivi wamevalia kitenge cha juu kwenye hio picha, maana kuna jamaa mwingine anatumia simu na mwingine ameweka mikono nyuma.

Hapo sio Accra au Kumasi hapo kweli?
Hata mimi nlipoona Picha tu, nikahisi itakuwa Ghana
 
No.....nimesema upana wa Sura yani muonekano hiyo miwani (upande wa juu tu) mambo ya blauz sijazungumzia lakini hata ukiangalia Avatar yako ambayo nimeitumia kulinganisha wewe umevaa shati.
 
Usimroge jamani ana majukumu bora hata umfanye kijakazi wako leo usiku kwenye shughuli zako
Bahati nzuri nimeamka salama salmin... hajaniroga. Natumai amelisikia ombi langu. Asante Mshana Jr. Nakuahidi kuwa mtiifu kuanzia leo.... sitarudia tena kukuchokoza maana jana nilivyobofya tu kitiara cha kutuma nikaanza kuhisi mawenge. Duh! Sirudii teena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom