Huyu mtoto ataniua soon

Huyu mtoto ataniua soon

Ni-PM Nikupe njia sahihi ya ku-format ur Brain, ila itafuta kila kitu hadi hayo masomo yako.
 
Kuna nyumba mpya ya kupanga nimehamia kama miezi miwili iliopita katika io nyumba kuna msichana next door anaishi na dada yake tunasoma wote chuo kimoja. Mwanzoni nilimpenda na yeye akaonyesha kama ananipenda ila sijawahi kumwambia sasa juzi kati ikabidi nimchane kwamba nampenda. Alichoniambia ni kwamba anampenda jamaa mwingine wa jirani hapa afu sipo hata kwenye hisia zake dah ilo jibu lili nimaliza nguvu coz mtoto nishamzimukia mbaya saivi hata kula siwezi afu nahisi hata mtihani wa chuo naweza kufeli guys naombeni ushauri jinsi gani naweza msahau..??

soma kwanza mapenzi baadae ila kama vipi chezea hiyo nafasi ila tunakuomba uje utupe mrejesho wa nini kimekutokea baadae wewe dusiko.
 
Kuna nyumba mpya ya kupanga nimehamia kama miezi miwili iliopita katika io nyumba kuna msichana next door anaishi na dada yake tunasoma wote chuo kimoja. Mwanzoni nilimpenda na yeye akaonyesha kama ananipenda ila sijawahi kumwambia sasa juzi kati ikabidi nimchane kwamba nampenda. Alichoniambia ni kwamba anampenda jamaa mwingine wa jirani hapa afu sipo hata kwenye hisia zake dah ilo jibu lili nimaliza nguvu coz mtoto nishamzimukia mbaya saivi hata kula siwezi afu nahisi hata mtihani wa chuo naweza kufeli guys naombeni ushauri jinsi gani naweza msahau..??

Mkuu pole. Najua uzito wa moyo unashinda uwezo wa akili kuamua.
Lakini kuna siri hii, jinsi unavyojisikia kwa huyo dada unaweza kujisikia hivyo kwa wasichana wengine mamilioni hapa duniani. Not so special of all feelings now, is it?

Your life is what you have and are responsible to God who gave it to you. Ni haki kweli kukubali kutokuwa na raha, Kukiri kufeli kwa ajili ya one of millions who does not share the feelings with you?
Kuna wazazi waliokusomesha toka darasa la kwanza waliokulea toka ulipoingia duniani. Do you even know how hard that is, and then you hear eti yule mtoto uliyemuangaikia for twenty or so years afeli mtihani kwa ajili ya a girl next door?

There is your wife waiting out there na anahitaji mafanikio yako maana ndio maisha yenu ya baadaye, Think about your kids who will come?

Muwe mnamuomba Mungu vijana atawaepushia majanga kama haya.
Mkuu nakutakia mtihani mwema na nnaamini utafaulu vizuri kabisa
 
Pole sana yaani umemzimikia mpaka usiku hulali unamuota yeye!ukinywa maji unamuona kwenye glass.
 
mimi ushauri wangu, usimuamini kwa alichokwambie, kama kweli anae mshua wake wewe ungeshajua na ungeshamjua kwa maana mna kaa nae na mnasoma nae, wewe cha muhimu puuzia hayo majibu yake, endelea kuonyesha kuwa unampenda na sasa ongezea na kumjali pia baadae utakuja jua ukweli.

Mimi kwenye ujana wangu kulikuwa na demu mmoja mrembo mtaani kwetu, sikuwa na ishu nae saana na wala hatukuwa na mahusiano, ilikuwa wanaume wakimtokea anawaambia kuwa yupo na mimi wakati huo mimi sikuwa na hili wala lile. Wakati huo huo kuna binti mwingine alikuwa ni mdogo kidogo alikuwa karibu sana na mimi kwakuwa tulikuwa family friends alikuwa akitumwa ujumbe na wadada kuja kwangu alikuwa haufikishi akiwaambia kuwa nimekataa, mimi nikimtuma ujumbe kwa mabinti wengine alikuwa haufikisha au atakuja na majibu ya uongo, nikimtongoza yeye hataki, akinikita na wasichana wengine anachukia. you know what? This young ladie is my wife now for more than 10 yrs now with happy life
 
Hamna hata dalili za mgomo? Kuna mmoja aliokolewa na mgomo kwa kuendekeza mapenzi kizembe.

Classmate wangu wa primary, alikuwa kichwa hasa, mapenzi kitovu cha uzembe akadisko, kisa kamwagwa na festi yea mwenzie.

Chuoni mapenzi part time, shule kwanza.
 
The Boss umempa majibu mazuri, lakini nakazia jikite kwenye masomo yako na usimjali, atakuheshimu na utasonga mbele bila shida!!
 
Last edited by a moderator:
Iv kwa nn mwanaume ukipigwa kibuti ndo mapenzi yanaongezeka hapo ulipokataliwa?
 
Ujinga kufeli kwaajili. Mapenzi km vp. Kaza na kitabu next ukitusua utamvuta mwingine muzuri. haswa komaa upate key ya maisha yako

Chronic
 
Feli tu na huo mtihani, chuo utarudia! Unakaa unang'ang'ana na mtoto mdogo huku unatakiwa kushape future yako?!
Kuna nyumba mpya ya kupanga nimehamia kama miezi miwili iliopita katika io nyumba kuna msichana next door anaishi na dada yake tunasoma wote chuo kimoja.

Mwanzoni nilimpenda na yeye akaonyesha kama ananipenda ila sijawahi kumwambia sasa juzi kati ikabidi nimchane kwamba nampenda.

Alichoniambia ni kwamba anampenda jamaa mwingine wa jirani hapa afu sipo hata kwenye hisia zake dah ilo jibu lili nimaliza nguvu sababu mtoto nishamzimukia mbaya sasa hivi hata kula siwezi alafu nahisi hata mtihani wa chuo naweza kufeli guys naombeni ushauri jinsi gani naweza msahau?
 
ungekuwa pedeshee ungemrubuni na mahela, sa boom litafaa kweli kurubunia?
 
Jitahidi kumpotezea bwana kama hana hisia kabisa na wewe atakausha lkn kama anahisia kidogo utamwona anajileta!pole tena
 
Back
Top Bottom