Huyu mtoto ataniua soon

Huyu mtoto ataniua soon

Kuna nyumba mpya ya kupanga nimehamia kama miezi miwili iliopita katika io nyumba kuna msichana next door anaishi na dada yake tunasoma wote chuo kimoja.

Mwanzoni nilimpenda na yeye akaonyesha kama ananipenda ila sijawahi kumwambia sasa juzi kati ikabidi nimchane kwamba nampenda.

Alichoniambia ni kwamba anampenda jamaa mwingine wa jirani hapa afu sipo hata kwenye hisia zake dah ilo jibu lili nimaliza nguvu sababu mtoto nishamzimukia mbaya sasa hivi hata kula siwezi alafu nahisi hata mtihani wa chuo naweza kufeli guys naombeni ushauri jinsi gani naweza msahau?


Baby boy take it easy education is important than love affairs,,,,,control your feelings like a strong man
 
Kuna nyumba mpya ya kupanga nimehamia kama miezi miwili iliopita katika io nyumba kuna msichana next door anaishi na dada yake tunasoma wote chuo kimoja.

Mwanzoni nilimpenda na yeye akaonyesha kama ananipenda ila sijawahi kumwambia sasa juzi kati ikabidi nimchane kwamba nampenda.

Alichoniambia ni kwamba anampenda jamaa mwingine wa jirani hapa afu sipo hata kwenye hisia zake dah ilo jibu lili nimaliza nguvu sababu mtoto nishamzimukia mbaya sasa hivi hata kula siwezi alafu nahisi hata mtihani wa chuo naweza kufeli guys naombeni ushauri jinsi gani naweza msahau?

piga shule kwanza,dogo wazuri wapo wengi sana,huyo unamuona mzuri kuliko wote,lakini baada ya miaka kadhaa ijayo watatokea wazuri,mpaka utashangaa kwanini huyo alikuwa anakuumiza,

Trust me mdogo wangu, i speak from experience.
 
Mkuu pole. Najua uzito wa moyo unashinda uwezo wa akili kuamua.
Lakini kuna siri hii, jinsi unavyojisikia kwa huyo dada unaweza kujisikia hivyo kwa wasichana wengine mamilioni hapa duniani. Not so special of all feelings now, is it?

Your life is what you have and are responsible to God who gave it to you. Ni haki kweli kukubali kutokuwa na raha, Kukiri kufeli kwa ajili ya one of millions who does not share the feelings with you?
Kuna wazazi waliokusomesha toka darasa la kwanza waliokulea toka ulipoingia duniani. Do you even know how hard that is, and then you hear eti yule mtoto uliyemuangaikia for twenty or so years afeli mtihani kwa ajili ya a girl next door?

There is your wife waiting out there na anahitaji mafanikio yako maana ndio maisha yenu ya baadaye, Think about your kids who will come?

Muwe mnamuomba Mungu vijana atawaepushia majanga kama haya.
Mkuu nakutakia mtihani mwema na nnaamini utafaulu vizuri kabisa

good advice
 
Kuna nyumba mpya ya kupanga nimehamia kama miezi miwili iliopita katika io nyumba kuna msichana next door anaishi na dada yake tunasoma wote chuo kimoja.

Mwanzoni nilimpenda na yeye akaonyesha kama ananipenda ila sijawahi kumwambia sasa juzi kati ikabidi nimchane kwamba nampenda.

Alichoniambia ni kwamba anampenda jamaa mwingine wa jirani hapa afu sipo hata kwenye hisia zake dah ilo jibu lili nimaliza nguvu sababu mtoto nishamzimukia mbaya sasa hivi hata kula siwezi alafu nahisi hata mtihani wa chuo naweza kufeli guys naombeni ushauri jinsi gani naweza msahau?

Hospitali zipo nenda ukapime malaria
 
Mmmm hapo inabidi ukubaliane na hali halisi tu ndugu yangu hakuna jinsi,kama kasema hivyo chukua tu hilo jibu.
 
Kuna nyumba mpya ya kupanga nimehamia kama miezi miwili iliopita katika io nyumba kuna msichana next door anaishi na dada yake tunasoma wote chuo kimoja. Mwanzoni nilimpenda na yeye akaonyesha kama ananipenda ila sijawahi kumwambia sasa juzi kati ikabidi nimchane kwamba nampenda. Alichoniambia ni kwamba anampenda jamaa mwingine wa jirani hapa afu sipo hata kwenye hisia zake dah ilo jibu lili nimaliza nguvu sababu mtoto nishamzimukia mbaya sasa hivi hata kula siwezi alafu nahisi hata mtihani wa chuo naweza kufeli guys naombeni ushauri jinsi gani naweza msahau?
you seem to be out of your mind feli uone impact yake
 
Sasa mkuu msichana mwenyewe hujawahi kumtongoza siku unamwanzia kakuambia ukweli hakuzimikii wewe,sasa hapo kosa liko wapi hata uwe na roho yakutuambia kuwa atakuuwa karibuni.Ama ulitaka akukubali akutowanishe kisha akupige chini!! Siutaoza mkuu badala ya kufa kwanza.We shkuru kakuambia ukweli manake loo... Kuna Wenzio wakiona skirt tu mbele yao wanahisi kichefuchefu sababu ya mapigo na majeraha makubwa ya mapenzi.
 
Sasa mkuu msichana mwenyewe hujawahi kumtongoza siku unamwanzia kakuambia ukweli hakuzimikii wewe,sasa hapo kosa liko wapi hata uwe na roho yakutuambia kuwa atakuuwa karibuni.Ama ulitaka akukubali akutowanishe kisha akupige chini!! Siutaoza mkuu badala ya kufa kwanza.We shkuru kakuambia ukweli manake loo... Kuna Wenzio wakiona skirt tu mbele yao wanahisi kichefuchefu sababu ya mapigo na majeraha makubwa ya mapenzi.

kuna comfortability nyng zaid ya mapenz shulen ebu penda kusoma handout uone raha yake
 
We dogo soma acha kuwaza waza wanawake. Vijana wa siku hizi mkoje??!! kademu umekatongoza leo kamekumwaga unaanza kulia lia??!!!! Hivi wanaume wameisha siku hizi au?
 
Mkuu serious naomba ushauri niko kwenye hali mbaya
kama ni kweli ''keep on pressing she is just trying you'', hana njemba yeyote anajipandisha chati tu na usitumie tena neno nakupenda
 
Sikiliza nyimbo za pitbull utamsahau yaan kariri nyimbo zake zote
 
Last edited by a moderator:
Kuna nyumba mpya ya kupanga nimehamia kama miezi miwili iliopita katika io nyumba kuna msichana next door anaishi na dada yake tunasoma wote chuo kimoja.

Mwanzoni nilimpenda na yeye akaonyesha kama ananipenda ila sijawahi kumwambia sasa juzi kati ikabidi nimchane kwamba nampenda.

Alichoniambia ni kwamba anampenda jamaa mwingine wa jirani hapa afu sipo hata kwenye hisia zake dah ilo jibu lili nimaliza nguvu sababu mtoto nishamzimukia mbaya sasa hivi hata kula siwezi alafu nahisi hata mtihani wa chuo naweza kufeli guys naombeni ushauri jinsi gani naweza msahau?




Hawa ndio waleeee ambao hawajui kuwa kutongoza kuna YES na NO......Wanataka wakitongoza tuu waambiwe YES la sivyo bifu linaanza...

KUBALI jibu NO. Decisions are to be respected...Huwezi jua kukataa kwake kunakuepusha nini...
 
Kuna nyumba mpya ya kupanga nimehamia kama miezi miwili iliopita katika io nyumba kuna msichana next door anaishi na dada yake tunasoma wote chuo kimoja.

Mwanzoni nilimpenda na yeye akaonyesha kama ananipenda ila sijawahi kumwambia sasa juzi kati ikabidi nimchane kwamba nampenda.

Alichoniambia ni kwamba anampenda jamaa mwingine wa jirani hapa afu sipo hata kwenye hisia zake dah ilo jibu lili nimaliza nguvu sababu mtoto nishamzimukia mbaya sasa hivi hata kula siwezi alafu nahisi hata mtihani wa chuo naweza kufeli guys naombeni ushauri jinsi gani naweza msahau?




Kama unampenda kweli nenda kaongee na wazazi wake...Acha kutaka kumchezea chezea binti wa watu....Kwanza unasoma, huna maisha yeyote ndio nyie mnasababisha binti awe na Kindoo na kidumu sababu huwezi hata kumnunulia sabuni.
 
Mimi uzi ambao hauna picha sichangiagi kabisa
 
think about this......
kuna possibility ya yeye kuachana na huyo jamaa later?yes

kuna possibility ya wewe kumpata baadae? yes....

kuna possibility ya wewe kuwa mchepuko huku huyo jamaa anamiliki? probably yes

why ukose raha sasa?

life has full of possibilities ukitazama vizuri....

kuna possibility ya wewe kumpata mwingine na kumsahau huyo?yes...

its not the end of the world.......

We mjamaa ninekugongea like ya manually
 
Ufeli chuo??...dude be serious...yani uache mambo ya msingi kisa mtu??,,,hehehe nishawahi achwa like a week to UE nilidata kwa kweli but ilinipa nguvu sana kufanya vizuri huo mtihani,nilikuwa nalia na madesa mkononi..

Babiediey una uzoefu au ndio yale Mambo ya am single again but now with experience
 
Mtongoze dadakee, yaani akichomoa Huyu unamchomekea yule Daah apepe Mangwea
 
Back
Top Bottom