Huyu mtoto alijifanya mjanja, pesa anataka mzigo anasema mpaka tuzoeane kwanza

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,921
36,784
Mahusiano yana siku 3 nikamwambia Jmosi tuvunje amri ya 6 akasema mpaka nimzoee nijiridhishe kama ana tabia njema naye pia ajiridhishe ndipo tufanye. Hivi mtu munaishi mitaa tofauti muchunguzane tabia ili tu mupate kufanya tendo inawezekana vipi?

Ingekuwa tumepanga kufunga ndoa sawa.

Nikamwambia sawa. Next day ananiomba pesa aongezee mtaji wake afanye biashara ndogo ndogo alizokuwa anafanya awali.

Nikamwambia twende nikakupe. Akakubali, nikamwonyesha lodge achague twende lodge au turudi mahome akasema sijampanga mapema. Nikamuuliza umesahau nini nyumbani?
Nikampa buku 5 ya nauli sikutaka maelezo nikaondoka.
Eti alitaka nimpetipeti.
Kwani machangudoa sh.ngapi?
Kwani nyeto bei gani?
Pesa husemi mpaka tuzoeane.
Mambizi.
Mimi siwezi kumbembeleza mwanamke, haitatokea.
 
s
Mahusiano yana siku 3 nikamwambia Jmosi tuvunje amri ya 6 akasema mpaka nimzoee nijiridhishe kama ana tabia njema naye pia ajiridhishe ndipo tufanye. Hivi mtu munaishi mitaa tofauti muchunguzane tabia ili tu mupate kufanya tendo inawezekana vipi?

Ingekuwa tumepanga kufunga ndoa sawa.

Nikamwambia sawa. Next day ananiomba pesa aongezee mtaji wake afanye biashara ndogo ndogo alizokuwa anafanya awali.

Nikamwambia twende nikakupe. Akakubali, nikamwomyesha lodge achague twende lodge au turudi mahome akasema sijampanga mapema. Nikamuuliza umesahau nini nyumbani?
Nikampa buku 5 ya nauli sikutaka maelezo nikaondoka.
Eti alitaka nimpetipeti.
Kwani machangudoa sh.ngapi?
Kwani nyeto bei gani?
Pesa husemi mpaka tuzoeane.
Mambizi.
Mimi siwezi kumbembeleza mwanamke, haitatokea.
sasa kama majibu unayajua malaya si unafahamu walipo??
sabuni nayo inapokaa unajua?
 
Mwambie atafute pa kuupeleka upumbavu wake
Mahusiano yana siku 3 nikamwambia Jmosi tuvunje amri ya 6 akasema mpaka nimzoee nijiridhishe kama ana tabia njema naye pia ajiridhishe ndipo tufanye. Hivi mtu munaishi mitaa tofauti muchunguzane tabia ili tu mupate kufanya tendo inawezekana vipi?

Ingekuwa tumepanga kufunga ndoa sawa.

Nikamwambia sawa. Next day ananiomba pesa aongezee mtaji wake afanye biashara ndogo ndogo alizokuwa anafanya awali.

Nikamwambia twende nikakupe. Akakubali, nikamwonyesha lodge achague twende lodge au turudi mahome akasema sijampanga mapema. Nikamuuliza umesahau nini nyumbani?
Nikampa buku 5 ya nauli sikutaka maelezo nikaondoka.
Eti alitaka nimpetipeti.
Kwani machangudoa sh.ngapi?
Kwani nyeto bei gani?
Pesa husemi mpaka tuzoeane.
Mambizi.
Mimi siwezi kumbembeleza mwanamke, haitatokea.
 
Mahusiano yana siku 3 nikamwambia Jmosi tuvunje amri ya 6 akasema mpaka nimzoee nijiridhishe kama ana tabia njema naye pia ajiridhishe ndipo tufanye. Hivi mtu munaishi mitaa tofauti muchunguzane tabia ili tu mupate kufanya tendo inawezekana vipi?

Ingekuwa tumepanga kufunga ndoa sawa.

Nikamwambia sawa. Next day ananiomba pesa aongezee mtaji wake afanye biashara ndogo ndogo alizokuwa anafanya awali.

Nikamwambia twende nikakupe. Akakubali, nikamwonyesha lodge achague twende lodge au turudi mahome akasema sijampanga mapema. Nikamuuliza umesahau nini nyumbani?
Nikampa buku 5 ya nauli sikutaka maelezo nikaondoka.
Eti alitaka nimpetipeti.
Kwani machangudoa sh.ngapi?
Kwani nyeto bei gani?
Pesa husemi mpaka tuzoeane.
Mambizi.
Mimi siwezi kumbembeleza mwanamke, haitatokea.
Mimi nikiomba namba ya dem then akaanza vizinga hapo hapo nafuta na namba. Uswahili sipendi mimi
 
Sema mwanangu una roho nzuri ukampa na buku 5 ya nauli. Mimi kuna mmoja nilimwita geto akasema hana nauli nikamtumia mpesa ile kapata tu muamala akaanza visingizio akanitumia sms wazazi wake ndo wamerudi kwaiyo hawezi kutoka. Mimi nikarudisha muhamala wangu then nikamjibu poa basi tufanye siku nyingine., alinipolomoshea makasiliko kibao
 
Mahusiano yana siku 3 nikamwambia Jmosi tuvunje amri ya 6 akasema mpaka nimzoee nijiridhishe kama ana tabia njema naye pia ajiridhishe ndipo tufanye. Hivi mtu munaishi mitaa tofauti muchunguzane tabia ili tu mupate kufanya tendo inawezekana vipi?

Ingekuwa tumepanga kufunga ndoa sawa.

Nikamwambia sawa. Next day ananiomba pesa aongezee mtaji wake afanye biashara ndogo ndogo alizokuwa anafanya awali.

Nikamwambia twende nikakupe. Akakubali, nikamwonyesha lodge achague twende lodge au turudi mahome akasema sijampanga mapema. Nikamuuliza umesahau nini nyumbani?
Nikampa buku 5 ya nauli sikutaka maelezo nikaondoka.
Eti alitaka nimpetipeti.
Kwani machangudoa sh.ngapi?
Kwani nyeto bei gani?
Pesa husemi mpaka tuzoeane.
Mambizi.
Mimi siwezi kumbembeleza mwanamke, haitatokea.
Huyo kwenye picha ndio wewe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom