feitty
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 2,595
- 4,205
Wivu uko wapi hapo?mkuu acha wivu
Ningesema mbaya ungesema wivu ila hakuna mahali nimesema hivo.
Hata hivyo hayo ni mawazo yangu kama umeona ni wivu fine.
Au ulitaka wachangiaji wawe wanaume tu.
Wivu uko wapi hapo?mkuu acha wivu
Samahani(wanaume wanafiki)Tutake radhii baba zako laanatuwai
mnachafua hali ya hewa c bure.Kama anakunya keki sawa
mnachafua hali ya hewa c bure.Kama anakunya keki sawa
uyo ni kwa matumizi ya muda mfupi tuu ukishatosheka unamuachaWewe unadhani kila mwanaume anahitaji mwanamke wa aina hiyo?
Nani anataka stress kwa uvaaji huo.
Mwanaume anayejitambua na asiyehitaji kusaidiwa hapo utakula anasepa hawezi kuweka kambi.
Japo hata wanauvaa stara wanatoswa lakini mimi nadhani kila mwanaume ana tests zake.
Halafu baadhi yawanaume wanafiki anajifanya anakupenda kumbe anakuchora tu akikuacha kwa tabia na uvaaji huo anaenda kuoa mwingine anayejiheshimu.
...huyu ni wa kutomba tuuuu maana amna namna.....ukimuoa wewe jua umewaolea wadogo na wakaka zako....ile kituuu inaitwa.."HAHINAGA USHEMEJI...TUNAKULAGAAA"....pia hata ndugu zako wakija kukutembelea usishangae aka vaa kanga moko....hapo ndo utagundua kwanini walimwengu walisemaga......."TEST B4 TAKE"
Kweli kabisa chakula kikiwa wazi inzi fumbi huogopi food infection au food poisoning yaaan saiv nguo za ndani zimekuwa njeWewe unadhani kila mwanaume anahitaji mwanamke wa aina hiyo?
Nani anataka stress kwa uvaaji huo.
Mwanaume anayejitambua na asiyehitaji kusaidiwa hapo utakula anasepa hawezi kuweka kambi.
Japo hata wanauvaa stara wanatoswa lakini mimi nadhani kila mwanaume ana tests zake.
Halafu baadhi yawanaume wanafiki anajifanya anakupenda kumbe anakuchora tu akikuacha kwa tabia na uvaaji huo anaenda kuoa mwingine anayejiheshimu.
Unaowa yako?
Mkuu katika uzuri wa mwanamke, umbo na sura vinahusika pia. Wahenga kusema uzuri ni tabia haimaanishi, uzuri wa maumbile uwekwe kando.Wapenda ngono utawajua tu! Kila siku huwa nawaambia uzuri wa mwanamke sio sura au umbo bali uzuri wa mwanamke ni tabi na mwenendo wake wa maisha. Lakini pia kila mtu ana taste yake katika mapenzi, hivyo kile unachokina wewe kuwa ni dhahabu safi, kwa mwingine kinaweza kuwa taka taka tena uozo mtupu.
Mkuu katika uzuri wa mwanamke, umbo na sura vinahusika pia. Wahenga kusema uzuri ni tabia haimaanishi, uzuri wa maumbile uwekwe kando.