Huyu mrembo eti nae anatoswa?

Huyu mrembo eti nae anatoswa?

Wewe unadhani kila mwanaume anahitaji mwanamke wa aina hiyo?
Nani anataka stress kwa uvaaji huo.
Mwanaume anayejitambua na asiyehitaji kusaidiwa hapo utakula anasepa hawezi kuweka kambi.
Japo hata wanauvaa stara wanatoswa lakini mimi nadhani kila mwanaume ana tests zake.
Halafu wanaume wanafiki anajifanya anakupenda kumbe anakuchora tu akikuacha kwa tabia na uvaaji huo anaenda kuoa mwingine anayejiheshimu.
mkuu acha wivu
 
Nakunywa sana maji na soda kuliko madafu kwasababu chupa za soda ni transparent, naona kilicho ndani, nikimaliza kunywa, kopo natupa, wenye ajira zao waje kuokota.
Hahahaaa
 
Wewe unadhani kila mwanaume anahitaji mwanamke wa aina hiyo?
Nani anataka stress kwa uvaaji huo.
Mwanaume anayejitambua na asiyehitaji kusaidiwa hapo utakula anasepa hawezi kuweka kambi.
Japo hata wanauvaa stara wanatoswa lakini mimi nadhani kila mwanaume ana tests zake.
Halafu wanaume wanafiki anajifanya anakupenda kumbe anakuchora tu akikuacha kwa tabia na uvaaji huo anaenda kuoa mwingine anayejiheshimu.
(wanaume wanafiki)Tutake radhii baba zako laanatuwai
 
Kila mtu ana mahitaj tofauti kutoka kwa mwanamke
Unachoona wewe.. ni mzigo wa haja... ninacho angalia mimi ni tabia. Lazima wote tuwe tofauti...
 
Utamuona mzuri kabla haujagegeda ila ukishagegeda anabakia kuwa wa kawaida sana
 
Mbona huyo kumtosa easy dakika sifuri tu.
Ht Mimi nakuunga mkono mkuu, kwa uvaaji huo kichupi kinaonekana lazima atoswe tu. Mwanamke staha ndio ngao yetu. Sasa km unajidai chura hd unavaa mchupi unaonekana kbs hivyo, sketi very transparent, khaaa.
 
Wewe unadhani kila mwanaume anahitaji mwanamke wa aina hiyo?
Nani anataka stress kwa uvaaji huo.
Mwanaume anayejitambua na asiyehitaji kusaidiwa hapo utakula anasepa hawezi kuweka kambi.
Japo hata wanauvaa stara wanatoswa lakini mimi nadhani kila mwanaume ana tests zake.
Halafu wanaume wanafiki anajifanya anakupenda kumbe anakuchora tu akikuacha kwa tabia na uvaaji huo anaenda kuoa mwingine anayejiheshimu.

Mamy chukua tano, uko Right kbs. Uvaaji gani huo, basi angetembea uchi kbs ikajulikana moja.
 
Sasa alitokaje nyumbani huyo mrembo?

Maana mambo hadharani
 
View attachment 422459


Embu mtazameni jamani!
Halafu kidume unamtosa? ni uanaume kweli huo?

Wapenda ngono utawajua tu! Kila siku huwa nawaambia uzuri wa mwanamke sio sura au umbo bali uzuri wa mwanamke ni tabi na mwenendo wake wa maisha. Lakini pia kila mtu ana taste yake katika mapenzi, hivyo kile unachokina wewe kuwa ni dhahabu safi, kwa mwingine kinaweza kuwa taka taka tena uozo mtupu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom