Huyu mrembo eti nae anatoswa?

Huyu mrembo eti nae anatoswa?

Huyo ukimaliza tu kuongea nae unafuta namba. Kwa uvaaji huo unaanzaje kufikiri future nae.

Mwanaume muoaji hawezi kuwa na time kwa uvaaji huo, unless iwe ni mboga ya usiku mmoja.
 
Kwa hiyo wewe kama ukipata mwanamke mwenye uzuri wa sura na umbo lakini kitabia ni malaya utamuoa?
Kumuoa inategemea. Kuna wanaume wameoa wanawake malaya na wanafahamu kwamba ni malaya.
Pointi yangu ni kwamba tunaposema 'uzuri wa mwanamke ni tabia' haimaanishi uzuri wa maumbile umewekwa kando. Kumbuka pia wanaume wengi huvutiwa na umbo then ndo wana anza kufuatilia tabia.
 
Kumuoa inategemea. Kuna wanaume wameoa wanawake malaya na wanafahamu kwamba ni malaya.
Pointi yangu ni kwamba tunaposema 'uzuri wa mwanamke ni tabia' haimaanishi uzuri wa maumbile umewekwa kando. Kumbuka pia wanaume wengi huvutiwa na umbo then ndo wana anza kufuatilia tabia.

Hujajibu swali bali umekwepa kujibu swali. Jibu swali kwanza halafu ndio nitakueleza kwa nini nimesema uzuri wa mwanamke ni tabia.
 
Hujajibu swali bali umekwepa kujibu swali. Jibu swali kwanza halafu ndio nitakueleza kwa nini nimesema uzuri wa mwanamke ni tabia.
Ok, mie nishaoa. Ila hapo hakuna jibu la moja kwa moja. mwingine hawezi kumuoa malaya. Mwingine anaweza kumuoa kwa madai kwamba haangalii yaliyopita.
Pia wengine wanadai kwamba wana uwezo wa kumbadilisha kitabia. Na kweli wako wasiobadilika na pia wapo wanaobadilika kabisaaa.
 
Wanaume tunaojielewa hatuoi vyura tunaoa wake wema hivyo hata huyo atachezewa na kutosa kama hajui namna ya kuishi na mwanaume
 
Mkuu K ukisha anza kuitafuna frequently hata gal awe na shepu na sura nzuri vipi lazima umkinai tu ww limbukeni ndo unaona ajabu ila mchapaji anaitemea tu mate
 
Ok, mie nishaoa. Ila hapo hakuna jibu la moja kwa moja. mwingine hawezi kumuoa malaya. Mwingine anaweza kumuoa kwa madai kwamba haangalii yaliyopita.
Pia wengine wanadai kwamba wana uwezo wa kumbadilisha kitabia. Na kweli wako wasiobadilika na pia wapo wanaobadilika kabisaaa.

Mkuu, some things in this world do change and some of them never change. Kuna tabia ambazo mtu anaweza kubadilika ama kuziacha kabisa lakini kuna tabia ambazo kubadilika ama kuziacha si rahisi labda kwa msaada wa Mungu pekee. Lakini pia kumbuka ili mtu aweze kubadilika lazma atake kubadiliks kwa dhati kutoka moyoni mwake na afanye jitihada za makusudi za kuacha tabia husika vinginevyo hata ukimuombea kwa kukesha na kufunga yote ni kazi bure. Na ndio viongozi wadini huwa hawachoki kuwaasa waumini wao kuoa ama kuolewa na mtu mwenye tabia njema, msafi na mwaminifu, mwenye hofu na kumcha Mungu.
 
Mkuu, some things in this world do change and some of them never change. Kuna tabia ambazo mtu anaweza kubadilika ama kuziacha kabisa lakini kuna tabia ambazo kubadilika ama kuziacha si rahisi labda kwa msaada wa Mungu pekee. Lakini pia kumbuka ili mtu aweze kubadilika lazma atake kubadiliks kwa dhati kutoka moyoni mwake na afanye jitihada za makusudi za kuacha tabia husika vinginevyo hata ukimuombea kwa kukesha na kufunga yote ni kazi bure. Na ndio viongozi wadini huwa hawachoki kuwaasa waumini wao kuoa ama kuolewa na mtu mwenye tabia njema, msafi na mwaminifu, mwenye hofu na kumcha Mungu.
Unaikumbuka hii commet yako! Nilidhani utaiendeleza..

'Hujajibu swali bali umekwepa kujibu swali. Jibu swali kwanza halafu ndio nitakueleza kwa nini nimesema uzuri wa mwanamke ni tabia.
 
Hayo ma-figure n mazur tu kwa kuyatazama,lakin kuyagegeda mengne siyo matamu full kero
 
Mademu kama hao nisipo peleka mzigo barabara ya vumbi ntakuwa sijamtendea haki yake
Huyo nakula mpaka mifupa alaf nasepa kimya kimya
Mkuu kama ulikuwepo, hizo ni kama sera zangu. [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mrembo unaemuona njiani ni tofauti na unavoishi nae. Tunahitaji walezi kwenye familia
 
Unaikumbuka hii commet yako! Nilidhani utaiendeleza..

'Hujajibu swali bali umekwepa kujibu swali. Jibu swali kwanza halafu ndio nitakueleza kwa nini nimesema uzuri wa mwanamke ni tabia.

Naam, nimesema uzuri wa mwanamke si umbo bali tabia kwa sababu tabia pekee ndio inayo onyesha picha halisi ya mtu alivyo na sio umbo. Ninaposema hivi simaanishi kuwa na umbo au sura nzuri kitu kibaya, la hasha kwani umbo na sura nzuri vinachangia kuongeza mvuto ktk mapenzi.

Lakini sura na maumbo hayo mazuri yanaweza kuwa na faida kwa mwanamke endapo yatatumika vyema na kutunzwa kwa heshima. Pia maumbo na sura hizo yanaweza kuwa na faida endapo yataenda sambamba na uzuri wa roho yaani tabia njema vinginevyo sura na maumbo hayo badala kuwa kama mawaridi yaliyochanua na kutoa harufu nzuri yatageuka na kuwa taka taka na uozo machoni pa watu na Mungu pia.

Binafsi huwa sibabaishwi na uzuri wa umbo au sura hasa kama uzuri huo wa sura na umbo hauja ambatana na tabia njema. Kwa mwanamke mimi huwa naangalia uzuri wa roho kuliko wa uso au umbo na zaidi sana huwa naangalia tabia njema kuliko umaridadi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom