Hili ndio kosa lako
thanx mr Lover,simpendi huyu mama,nampenda sana mke wangu,na mara zote nikikutana na huyo mmaza kitu cha kwanza kabisa huwa nachomekea stori za kumsifia mke wangu na kumuonyesha ni jinsi gani nampenda sana waifu na maisha yalivyo supa nikiwa na waifu...mmaza atakusikiliza sana na yeye atakusifia sana BUT ukimpa tu nafasi aongee basi lazima topic zitabadilika tu na kuelekea kwenye malengo yake.