Huyu mmama anahatarisha ndoa yangu

Huyu mmama anahatarisha ndoa yangu

ndo maana kuna zana za kazi kwaajili ya kuhakikisha usalama kazini, tumia zana kula mpaka kabang uone kama atarudi tena

hizo unazoziita "zana" zina 3 percentage error.
1.kosa la kwanza ni kosa la utengenezaji(manufacturer error).
2.kosa la pili ni la utunzaji(storage error)
3.kosa la tatu ni la utumiaji(usage error)
nitafafanua endapo utahitaji
 
husaidia punguza usumbufu
hasa wa kikazi
we ungependa mara mbili?

Bas mweleweshe mwenzio vizuri nadhan ushauri wako waweza kua very constructive kwakwe,cha msingi ajue hiyo mara moja itakua applicable vipi
 
wana jf salaam,naombeni ushauri wenu tafadhali,(serious).huyu mmama ana umri unaokadiriwa miaka 40 hivi,tunafanyanae kazi sehemu moja vitengo tofauti.kwa ujumla kazi yangu na yake zinategemeana kwa hiyo mara nyingi huwa tunaonana sana tunapokuwa kazini.mbaya zaid alikuwa mjumbe wa kamati kwenye harusi yangu na alihudhuria pia.siku za hivi karibuni ameanza kunifanyia vituko,akiniona mara aje anishike kimahaba tena mbele za watu,mara aniite maneno yote ya kimapenzi.cha ajabu hivi karibuni amekuwa akiniomba tutoke huku akiniambia hajaduu kama mwezi hivi.nimejaribu kutumia mbinu zote za kusema NO kiistaarabu lakini naona zinagonga mwamba.sitaki kutumia agressive wayz kwani kulingana na kazi zetu iko siku nitahitaji msaada wake na yeye iko siku atahitaji msaada wangu.ameanza sasa kunipigia simu usiku akijijulia hali,nimekuwa nikipokea simu zake freely kwani waifu kituo chake cha kazi ni mkoa.naanza kupata wasiwasi hali hii ikiendelea hivi si ndoa yangu itakuwa inatetereka?plz naomba msaada wa the best way ku resolve hii kitu bila kuleta chuki,uadui wala maelewano mabaya ya kikazi.

Acha utoto, si umgegede tu
 
nakusoma sana mkuu Zogwale,yote hayo anayafahamu but kuna kazi zingine ambazo ukishapewa kuzifanya ni lazima tu umuone yeye akupe data za kutosha kama unataka ufanikiwe kwa asilimia kubwa,na hivyo hivyo kwa ubande wake.sikatai kabisa unachokisema but i need the best solution
ushauri wa Zogwale ni mzuri. kuhusu ofisini akianza kuzingua, make formal requests for information (letters etc), she has to give you au ataonekana vibaya kwa bosi mkubwa. sometimes mwanaume fanya tough decisions kulinda ndoa/principles zako. glad u care about ur ndoa this much
 
Last edited by a moderator:
he is the one and only; so you think you knew him? Think again.
BTW ile the GUIDE unafikiri author wake ni nani?
the boss ni 'mwanaume wa kiafrika'. ushasikia wapi simba anamkataa swala aliyejileta mwenyewe. lol
 
he is the one and only; so you think you knew him? Think again.
BTW ile the GUIDE unafikiri author wake ni nani?

The thing about you i love so much is
you love me with my flaws ..i don't have to fake to be seen 'mr perfect'
its a big turn on trust me..
 
Bas mweleweshe mwenzio vizuri nadhan ushauri wako waweza kua very constructive kwakwe,cha msingi ajue hiyo mara moja itakua applicable vipi

Anajua ni yeye tu
wewe hujawahi pata usumbufu ukaona bora
iitokee mara moja yaishe?
how old are u if you dont mind..
 
ushauri wa Zogwale ni mzuri. kuhusu ofisini akianza kuzingua, make formal requests for information (letters etc), she has to give you au ataonekana vibaya kwa bosi mkubwa. sometimes mwanaume fanya tough decisions kulinda ndoa/principles zako. glad u care about ur ndoa this much

nimekupata sana Blaine,kila ushauri nauchukulia kwa umuhimu sana,naufanyia upembuzi kabla ya kuanza kuutumia.hebu tuangalie kwa mapana yake,mfano unaona walimu walichokifanya mwaka jana?hawakugoma kufundisha wanafunzi but they didn't deliver to their best...naamini you saw what happened kwa form four.nataka kuavoidi situation kama hii but all in all kazi ni ya muhimu sana kwa kuwa ndo inanifanya hivi nilivyo lakini pia familia yangu ni ya muhimu sana tena sana katika maamuzi yangu yoyote
 
The thing about you i love so much is
you love me with my flaws ..i don't have to fake to be seen 'mr perfect'
its a big turn on trust me..
I tried mr. perfect Eiyer once and he turned out to be one fat.ssed liar.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom