Huyu mmama anahatarisha ndoa yangu

Huyu mmama anahatarisha ndoa yangu

wakyagara wakinyora

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2013
Posts
735
Reaction score
286
wana jf salaam,naombeni ushauri wenu tafadhali,(serious).huyu mmama ana umri unaokadiriwa miaka 40 hivi,tunafanyanae kazi sehemu moja vitengo tofauti.kwa ujumla kazi yangu na yake zinategemeana kwa hiyo mara nyingi huwa tunaonana sana tunapokuwa kazini.mbaya zaid alikuwa mjumbe wa kamati kwenye harusi yangu na alihudhuria pia.

Siku za hivi karibuni ameanza kunifanyia vituko,akiniona mara aje anishike kimahaba tena mbele za watu,mara aniite maneno yote ya kimapenzi.cha ajabu hivi karibuni amekuwa akiniomba tutoke huku akiniambia hajaduu kama mwezi hivi.nimejaribu kutumia mbinu zote za kusema NO kiistaarabu lakini naona zinagonga mwamba.sitaki kutumia agressive wayz kwani kulingana na kazi zetu iko siku nitahitaji msaada wake na yeye iko siku atahitaji msaada wangu.

Ameanza sasa kunipigia simu usiku akijijulia hali,nimekuwa nikipokea simu zake freely kwani waifu kituo chake cha kazi ni mkoa.naanza kupata wasiwasi hali hii ikiendelea hivi si ndoa yangu itakuwa inatetereka?

Plz naomba msaada wa the best way ku resolve hii kitu bila kuleta chuki,uadui wala maelewano mabaya ya kikazi.
 
Pole sana sasa wahitaji tukushauri coz yeye anakupenda na ww unampenda ila unaogopa ndoa yako kuteteleka so lipi usaidiwe? Kama vp mpe namba yangu mm sjaoa.


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Pole sana sasa wahitaji tukushauri coz yeye anakupenda na ww unampenda ila unaogopa ndoa yako kuteteleka so lipi usaidiwe? Kama vp mpe namba yangu mm sjaoa.


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums


thanx mr Lover,simpendi huyu mama,nampenda sana mke wangu,na mara zote nikikutana na huyo mmaza kitu cha kwanza kabisa huwa nachomekea stori za kumsifia mke wangu na kumuonyesha ni jinsi gani nampenda sana waifu na maisha yalivyo supa nikiwa na waifu...mmaza atakusikiliza sana na yeye atakusifia sana BUT ukimpa tu nafasi aongee basi lazima topic zitabadilika tu na kuelekea kwenye malengo yake.
 
Acha uchoyo bana mbona kazi unamsaidia iweje dushelele unamnyima? Sio vizuri mpe dozi.
 
Acha uchoyo bana mbona kazi unamsaidia iweje dushelele unamnyima? Sio vizuri mpe dozi.

mkuu TIQO,ikitokea bahati nzuri nikaanza kuharisha,kutapika,kukohoa na kuishi kwa dozi,mke wangu na mwanangu watakuwa katika hali gani?
 
the Boss,ninaweza kuwa mtoto katika hili na nikafanya maamuzi ya aina yoyote ile,pengine nikamlamba hiyo mara moja unayodai BUT just imagine,kaishawataka wangapi kwa njia hiyo?keep in mind bro,my stupidity,my grave!!!!
uoga ndio akili yenyewe asikudanganye mtu!!use ua common sense on this mwambie wazi hutaki na hupendi mambo hayo atika mazingira ya kazi yako ,mwambie uwazi na ukweli heshima irudi!!
 
Yaani wewe mtu mzima huna maamuzi? Huhitaji kupewa ushauri. Wewe umeoa na unafungana na mke wako. Aise matatizo mengine katika ndoa mnajisababishia wenyewe. Ningekuwa mimi Nampa kavu live mbele za watu na atakoma tu. Hata kama mnahisiana katika line of responsibilities kazini lakin ikitokea issue ya kazi mnafanya objectively. Mpe live kuwa umeoa na unaheshimu ndoa yako na si kulialia hapa.
 
Yaani wewe mtu mzima huna maamuzi? Huhitaji kupewa ushauri. Wewe umeoa na unafungana na mke wako. Aise matatizo mengine katika ndoa mnajisababishia wenyewe. Ningekuwa mimi Nampa kavu live mbele za watu na atakoma tu. Hata kama mnahisiana katika line of responsibilities kazini lakin ikitokea issue ya kazi mnafanya objectively. Mpe live kuwa umeoa na unaheshimu ndoa yako na si kulialia hapa.


nakusoma sana mkuu Zogwale,yote hayo anayafahamu but kuna kazi zingine ambazo ukishapewa kuzifanya ni lazima tu umuone yeye akupe data za kutosha kama unataka ufanikiwe kwa asilimia kubwa,na hivyo hivyo kwa ubande wake.sikatai kabisa unachokisema but i need the best solution
 
mkuu TIQO,ikitokea bahati nzuri nikaanza kuharisha,kutapika,kukohoa na kuishi kwa dozi,mke wangu na mwanangu watakuwa katika hali gani?

ndo maana kuna zana za kazi kwaajili ya kuhakikisha usalama kazini, tumia zana kula mpaka kabang uone kama atarudi tena
 
Back
Top Bottom