Unachokisema ni kweli but kumbuka nyingi ni allowance na sio mshahara
Mkuu najua, milichomaanisha ni kwamba, asilimia kubwa wakishastaafu maisha yao yanakua ya kawaida saana kutokana na pensheni zao za kila mwezi kua ndogo saana ukilinganisha na kile alichokua anakipata kama take home.Yaani na Wewe hujui kwamba kuna Watu wengine ' Allowances ' zao tu ni maradufu ya Mishahara yao ya Mwezi? Mkuu unaniangusha bhana hata hili tu limekushinda Kuling'amua / Kulijua? Mbona ni hali ya kawaida sana hii hasa katika Taasisi Muhimu na Nyeti nchini na hata katika Makampuni makubwa yaliyo chini ya Wazungu?
Mkuu najua, milichomaanisha ni kwamba, asilimia kubwa wakishastaafu maisha yao yanakua ya kawaida saana kutokana na pensheni zao za kila mwezi kua ndogo saana ukilinganisha na kile alichokua anakipata kama take home.
Mkuu hamna lolote....ni watu wa kawaida sana....tatizo mna wa over rate...ni kazi ya kawaida kama kazi nyingine..tofauti wenyewe tu wamepitia mazoezi na kuitwa wanausalama basi ndo watu wana wa over rateNAOMBA KUJUA KITU, JE NI KWELI KILA TISS, HATA HAWA MACHIZI NI LAZIMA APEWE BASTOLA YAKE AWE KAIFICHA SEHEMU ???
Shukrani nimekuelewa mkuuMkuu hamna lolote....ni watu wa kawaida sana....tatizo mna wa over rate...ni kazi ya kawaida kama kazi nyingine..tofauti wenyewe tu wamepitia mazoezi na kuitwa wanausalama basi ndo watu wana wa over rate
Unamchongea sasaKuna mmoja tumetoka kijiji kimoja tulikutana mkoa fluni kwenye uchaguzi mimi na mambo ya kikazi yeye nase kazi zao tulikaa lodge moja alikuja kwaajili ya vurugu zile za uchaguzi mara watu kupigana nakumbuka alinitonya niondoke pale lodge nihame.
Baadaye tulikutana mtwara tena kwenye vurugu zile za gas akiwa kama chizi kafuga midevu na koti chafuu pen kibao mfukoni yeye alinitambua akapiga begani akaondoka nikajua chizi...miaka kama miwili hivi tulikutana mwenge ndiyo akaniambia aliniona mtwara akanikumbusha...duh...nilishituka sana.
Kwa sasa ni boss wa kitengo.
Kwanini?Unamchongea sasa
Mission zao si huwa ni siri? Sasa huyu alikuwa anamuambia huyu ndugu yake haiwezi kumletea shida?Kwanini?
Ukienda Dodoma pale nyerere square jirani na Msikiti , yupo dogo mmoja anatokea Songea uwa anajifanya chinga mpayukaji utakuta kashika kichane cha ndizi anauza , kesho yebo.Unamchongea sasa
Ukienda Dodoma pale nyerere square jirani na Msikiti , yupo dogo mmoja anatokea Songea uwa anajifanya chinga mpayukaji utakuta kashika kichane cha ndizi anauza , kesho yebo. Nilipokutana nae akabadiri njia nikawaeleza jamaa kuwa huyu dogo sio namfahamu akasikia. Hakuwahi kuonekana tena. Hii ni January mpaka sasa
HahhaaaKati ya vitengo vyote vya TISS, ni PSU pekee ambayo watumishi wake wana pesa, Huko kwingine kote ni njaa kwelikweli.
Na wengi humu naona wanafahamu kuwa PSU ndio TISS wakati ni kitengo kilichopo ndani ya TISS.
Acha kufananisha Mlima na kichuguu, hawa ni wabeba vyuma tu na suti zao za mtumba hata wewe unaweza wakalisha kwa makofi tuHivi hii PSU ya Wasafi nayo inabidi itolewe ufafanuzi
Naona Daimondi watano, Rayvany wanne, Harmonize watatuView attachment 1094682View attachment 1094683View attachment 1094684
Alipata mimbaHivi na yule mdada aliyekuwa nae kipindi cha kwanza nae yupo wapi au ndio kapangiwa kazi nyengine?
Inaonekana Jamaa wanapenda Sana Kujionyesha.Wanatambulika tu hao jamaa wana uraia mwingi pia wanapenda kufahamika kwa raia,kuna mmoja nilimuona yupo 'bar' anapata moja moto moja baridi wakati huo badora kaiweka juu ya meza.
Dhaifu sana jamaa!!
Hahahahaah
Hapana usihofuMission zao si huwa ni siri? Sasa huyu alikuwa anamuambia huyu ndugu yake haiwezi kumletea shida?
Labda kama kahamishwa sasa hivi ila hadi January alikuwa hapo tcra
Sasa mkuu ukienda si wataona unawapeleleza mara ukamatwe then ukaokotwe coco beach kwenye kirobaWenye hamu ya kuwaona nendeni
Obay nyuma ya eagle house
Kwenye ule uwanja waliyokuwa wanaogeshea mbwa,ngombe zamani
Opposite kna ki bar jioni mtakutano nao baadhi yao wakikata kiu
Maana jf mnapenda Mada na kuwa jua Tiss
Ova