Nyamemba
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 845
- 446
Jamaa anamuona huyo Mkurugenzi kama SI UnitSasa kama alishakuona Wewe ni wa Kudanganywa tu huoni kwamba labda atakuwa amefaidika na Kukufanya Wewe Juha?
Jamaa anamuona huyo Mkurugenzi kama SI UnitSasa kama alishakuona Wewe ni wa Kudanganywa tu huoni kwamba labda atakuwa amefaidika na Kukufanya Wewe Juha?
Mbona juzi alikua dzm kwenye kuagaJamaa naye atakuwa kafa. RIP mlinzi
Jamaa naye atakuwa kafa. RIP mlinzi
2007Vipi kwani mkuu, Ni lini wewe utakufa??
Yupo hai na juzi Moshi tulikimbia nae Kili MarathonJamaa naye atakuwa kafa. RIP mlinzi
Yupo rotationHuyu jamaa alikua ni miongoni mwa walinzi wa Rais JPM tena wale ambao ni very special ambao wanakua in a close yard na rais, siku za hivi karibuni alikua haonekani kabisa kwenye misafara ya anko Magufuli but nimeshangaa jana kumuona akiwa kwa spika Ndugai...imekuaje tena? wataalam wa haya mambo mtujuzeView attachment 1093561