Huyu Mkuu wa Mkoa wa Tanga sidhani kama kuna kiongozi pale; labda cheo alipewa Kwa connection

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Nimemsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga sakata la ajali ya Costa iliyoua watu 17. Kwa kumsikiliza Tu unagundua Hana maarifa. Kama si zao la awamu ya tano basi ana vimelea vya Wakuu wa Mikoa wa awamu ya tano. Walikuwa wakuu wa Mikoa wa kukamata, kufunga ,weka maabusu nk

Hospitali zetu zinajulikana hazina magari yakutosha ya wagonjwa; tunaelewa kwamba Madaktari wa wilaya na Mikoa awaendi kwenye ajali wanasubiri waletewe majerui hospitalini, tunaelewa wazi kwamba usiku Madaktari wanakuwa wachache hospitalini na polisi wanakuwa wengi barabarani wakiwa na magari ya Doria. Nini kosa ya mganga mkuu wa wilaya na Mkoa?

Lakini pia kutokana na uchache wa wataalamu yawezekana hawa waliosimamishwa kazi ndio wataalamu wabobezi wanaotakiwa kuwahudumia hao wagonjwa na wagonjwa wengine kwenye maeneo Yao. Leo kuna watu wanakosa huduma zao hospitali Kwa Sababu wapo nybani wanasubiri uchunguzi kwanini walichelewa kwenda eneo la ajali.

Hebu tujiulize mkuu wa Wilaya alikuwa wapi wakati ajali inatokea? Tujiulize polisi walikuwa wapi? Mkuu wa mkoa na mganga mkuu wote wapo Tanga mjini, yeye alikuwa wapi hakuwahi kwenda kutoa huduma ya Kwanza? Kwanini kama yeye alishindwa kufika Kwa wakati anaamini Mganga mkuu angeweza kufika kwa wakati? Nani mwenye usafiri wa kuwahi eneo la tukio Kati ya mkuu wa mkoa na mganga mkuu?

Kama tunataka kuokoa maisha ya watu uchunguzi uendelee wakati hao wahusika wakiwa wanaendelea kutoa huduma. Tunaweza kutumia akili ndogo kwenye taaluma tukawapokonya uhai wagonjwa wengi.

Ilipotokea ajali ya ndege mwanza mafmdaktari mabingwa walikwenda kuokoa au walikaa kwenye vyumba vyao wakiwa na vifaa kutoa huduma?

Mkuu wa mkoa unataka kutuambia Mganga mkuu ana mobile hospital? Kwamba anaweza kwenda eneo la ajali na vifaa vya hospitali?

Nimetafakari Sana nikajiuliza wanaofanya kazi chini yake wapo salama? Ndio maana mkoa haupati maendeleo.
 
Kabla ya kumkashifu Mkuu wa mkoa ni vyema ukapata Taarifa ya upande wa pili.
Je,Daktari wa zamu alikua kazini muda huo, nesi wa zamu je?
Kama hawakuwepo basi palikua na uzembe Fulani.

Huenda Daktari aliyetakiwa kuandika Rufaa hakuwepo ili wagonjwa wawahishwe Hospitali ya mkoa.
Huenda wagonjwa walichelewa kupata hata huduma ya kwanza kutokana na kuchelewa Kwa Madaktari.
 
Ni utamaduni wa hovyo sana viongozi wazuri na wawajibikaji kurushiwa mawe na kuonekana hawafai. Kama kuna uzembe na kukosa uwajibikaji kwenye suala hilo nasimama upande wa RC na ninampogeza sana ila kama uamuzi aliotoa sio wa hekima wala busara sipo upande wake.

Badala ya kurusha mawe na kutupa shutuma kwa RC, vyombo vitachunguza na ukweli utabainika kwa sababu RC sio mjinga kufanya maamuzi hayo.
 
Nimemsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga sakata la ajali ya Costa iliyoua watu 17. Kwa kumsikiliza Tu unagundua Hana maarifa. Kama si zao la awamu ya tano basi ana vimelea vya Wakuu wa Mikoa wa awamu ya tano. Walikuwa wakuu wa Mikoa wa kukamata, kufunga ,weka maabusu nk

Hospitali zetu zinajulikana hazina magari yakutosha ya wagonjwa; tunaelewa kwamba Madaktari wa wilaya na Mikoa awaendi kwenye ajali wanasubiri waletewe majerui hospitalini, tunaelewa wazi kwamba usiku Madaktari wanakuwa wachache hospitalini na polisi wanakuwa wengi barabarani wakiwa na magari ya Doria. Nini kosa ya mganga mkuu WA wilaya na Mkoa?

Lakini pia kutokana na uchache wa wataalamu yawezekana hawa waliosimamishwa kazi ndio wataalamu wabobezi wanaotakiwa kuwahudumia hao wagonjwa na wagonjwa wengine kwenye maeneo Yao. Leo kuna watu wanakosa huduma zao hospitali Kwa Sababu wapo nybani wanasubiri uchunguzi kwanini walichelewa kwenda eneo la ajali.

Hebu tujiulize mkuu wa Wilaya alikuwa wapi wakati ajali inatokea? Tujiulize polisi walikuwa wapi? Mkuu WA mkoa na mganga mkuu wote wapo Tanga mjini, yeye alikuwa wapi hakuwahi kwenda kutoa huduma ya Kwanza? Kwanini kama yeye alishindwa kufika Kwa wakati anaamini Mganga mkuu angeweza kufika kwa wakati? Nani mwenye usafiri wa kuwahi eneo la tukio Kati ya mkuu WA mkoa na mganga mkuu?

Kama tunataka kuokoa maisha ya watu uchunguzi uendelee wakati hao wahusika wakiwa wanaendelea kutoa huduma. Tunaweza kutumia akili ndogo kwenye taaluma tukawapokonya uhai wagonjwa wengi.

Ilipotokea ajali ya ndege mwanza mafmdaktari mabingwa walikwenda kuokoa au walikaa kwenye vyumba vyao wakiwa na vifaa kutoa huduma?

Mkuu WA mkoa unataka kutuambia Mganga mkuu ana mobile hospital? Kwamba anaweza kwenda eneo la ajali na vifaa vya hospitali?

Nimetafakari Sana nikajiuliza wanaofanya kazi chini yake wapo salama? Ndo maana mkoa haupati maendeleo.
Watu waliopaswa kwenda haraka pale ni Polisi kikosi cha ZIMAMOTO NA UOKOAJI.

Hao wanaweza kushirikiana na wauguzi wa karibu na eneo la ajali kwa escort lakini siyo Daktari kuacha kutoa huduma hospital na kwenda kufuata majeruhi.

Viongozi wengine weledi mdogo, tuwahurumie.
 
Nimemsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga sakata la ajali ya Costa iliyoua watu 17. Kwa kumsikiliza Tu unagundua Hana maarifa. Kama si zao la awamu ya tano basi ana vimelea vya Wakuu wa Mikoa wa awamu ya tano. Walikuwa wakuu wa Mikoa wa kukamata, kufunga ,weka maabusu nk

Hospitali zetu zinajulikana hazina magari yakutosha ya wagonjwa; tunaelewa kwamba Madaktari wa wilaya na Mikoa awaendi kwenye ajali wanasubiri waletewe majerui hospitalini, tunaelewa wazi kwamba usiku Madaktari wanakuwa wachache hospitalini na polisi wanakuwa wengi barabarani wakiwa na magari ya Doria. Nini kosa ya mganga mkuu WA wilaya na Mkoa?

Lakini pia kutokana na uchache wa wataalamu yawezekana hawa waliosimamishwa kazi ndio wataalamu wabobezi wanaotakiwa kuwahudumia hao wagonjwa na wagonjwa wengine kwenye maeneo Yao. Leo kuna watu wanakosa huduma zao hospitali Kwa Sababu wapo nybani wanasubiri uchunguzi kwanini walichelewa kwenda eneo la ajali.

Hebu tujiulize mkuu wa Wilaya alikuwa wapi wakati ajali inatokea? Tujiulize polisi walikuwa wapi? Mkuu WA mkoa na mganga mkuu wote wapo Tanga mjini, yeye alikuwa wapi hakuwahi kwenda kutoa huduma ya Kwanza? Kwanini kama yeye alishindwa kufika Kwa wakati anaamini Mganga mkuu angeweza kufika kwa wakati? Nani mwenye usafiri wa kuwahi eneo la tukio Kati ya mkuu WA mkoa na mganga mkuu?

Kama tunataka kuokoa maisha ya watu uchunguzi uendelee wakati hao wahusika wakiwa wanaendelea kutoa huduma. Tunaweza kutumia akili ndogo kwenye taaluma tukawapokonya uhai wagonjwa wengi.

Ilipotokea ajali ya ndege mwanza mafmdaktari mabingwa walikwenda kuokoa au walikaa kwenye vyumba vyao wakiwa na vifaa kutoa huduma?

Mkuu WA mkoa unataka kutuambia Mganga mkuu ana mobile hospital? Kwamba anaweza kwenda eneo la ajali na vifaa vya hospitali?

Nimetafakari Sana nikajiuliza wanaofanya kazi chini yake wapo salama? Ndo maana mkoa haupati maendeleo.
Yes ! na baada ya uzi huu nakutambua rasmi kama Great Thinker , huyu RC hamna kitu
 
Tafadhali tujuzwe umbali -km toka eneo la ajali na hospitali ya wilaya.
 
Ni utamaduni wa hovyo sana viongozi wazuri na wawajibikaji kurushiwa mawe na kuonekana hawafai. Kama kuna uzembe na kukosa uwajibikaji kwenye suala hilo nasimama upande wa RC na ninampogeza sana ila kama uamuzi aliotoa sio wa hekima wala busara sipo upande wake.

Badala ya kurusha mawe na kutupa shutuma kwa RC, vyombo vitachunguza na ukweli utabainika kwa sababu RC sio mjinga kufanya maamuzi hayo.
Tusaidie Kwa uelewa wako, mganga mkuu WA wilaya na Mkoa wanatakiwa wakafanye rescue au wanapaswa kukaa kwenye vituo vyao kujipanga kupokea na kuhudumia wagonjwa?

Lini umewahi kuona Madaktari wa muhimbili wakikimbizana kwenda kufanya rescue? Incase wakienda nani atasimamia matibabu hospitalini?


Mkuu WA mkoa anaposema mganga mkuu alichelewa, je yeye wakati hao wanachelewa alikuwa wapi? Hao waliowahi ambao hajawasiamamisha kazi NI wakina Nani?
 
Pale amechemka, sijui nini huwa kinawawasha hawa watu. It's so easy to do the right thing.
Watu waliopaswa kwenda haraka pale ni Polisi kikosi cha ZIMAMOTO NA UOKOAJI.
Hao wanaweza kushirikiana na wauguzi wa karibu na eneo la ajali kwa escort lakini siyo Daktari kuacha kutoa huduma hospital na kwenda kufuata majeruhi.
Viongozi wengine weledi mdogo, tuwahurumie.
... Uwajibikaji
 
Back
Top Bottom