Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,093
- 22,806
Ila haya mambo ukihadithiwa unaweza dhania ni utani au story za kuchangamsha kikao. Ila yanatokea kweli.
Kuna mshikaji alioa kislay queen fulani cha kiswahili.
Yule binti bwana akaleta wadogo zake 4 katika nyumba yao wanayoishi, wakiume m'moja wa kike watatu. Na mama yake ambaye katika umri wake wa kama 48 hivi ana mtoto ana mwaka aisee wote akawaleta akawarundika katika kanyumba wamepanga ka chumba na sebule.
Just imagine unaishi vipi hapo..... Ila jamaa anasogeza maisha fresh tu bila shida. Anajionea sawa tu....
Kuna mshikaji alioa kislay queen fulani cha kiswahili.
Yule binti bwana akaleta wadogo zake 4 katika nyumba yao wanayoishi, wakiume m'moja wa kike watatu. Na mama yake ambaye katika umri wake wa kama 48 hivi ana mtoto ana mwaka aisee wote akawaleta akawarundika katika kanyumba wamepanga ka chumba na sebule.
Just imagine unaishi vipi hapo..... Ila jamaa anasogeza maisha fresh tu bila shida. Anajionea sawa tu....

ila kama walelewa endelea kuwa mpole jomba
