Huyu mke wangu tatizo

Huyu mke wangu tatizo

Jamani nimeoa mwaka huu mwezi wa pili tunaishi vizuri na mke wangu bila shida yoyote.

Menzi mitatu baada ya ndoa mke wangu akaanza kuleta marafiki zake wa kike tuishi nao wakati anajua kabisa tumepanga chumba kimoja wakawa wanakuja baada ya wiki wanaondoka wanakuja wengine hivyo hivyo nikimuambia mbona unaleta marafiki zako na tupo na chumba tu anasema wao wanakuja na awezi kuwafukuza .

Sasa huyu rafiki yake wa sasa aliyekuja ndio shida kaja toka mwezi wa 9 na wala anapango wa kuondoka yupo tu na shida nyingine ni mvivu sana hapa nipo kwenye mawazo kwasababu mke wangu ata ajali kwasababu toka aje huyo rafiki yake sijawai kufanya tendo la ndoa na mke wangu kwasababu awezi kufanya na yeye yupo hapo naona mke wangu wala aoni shida yeye yupo tu

Vipi jamani nifanye nini nimuondoe huyu shemegi hapa na ugwadu paka natamani nichepuke au nimle huyu shemegi akikataa itakuwa ndio njia ya kuondoka mwenyewe kwasababu kuna muda wife anawai kazini ananiacha mimi naye naombe ushauri nifanye nini imekuwa kero kubwa sana
Kwanini uliamua kuoa na umepanga chumba kimoja. Mimi sina cha kukushauri. Unaonekana umeshavurugwa na madawa ya kisukuma. Hauna akili kbs mpuuzi wewe. Kwa hiyo daah yaani nashindwa hata nikuweke kwenye fungu gani.
 
Jamani nimeoa mwaka huu mwezi wa pili tunaishi vizuri na mke wangu bila shida yoyote.

Menzi mitatu baada ya ndoa mke wangu akaanza kuleta marafiki zake wa kike tuishi nao wakati anajua kabisa tumepanga chumba kimoja wakawa wanakuja baada ya wiki wanaondoka wanakuja wengine hivyo hivyo nikimuambia mbona unaleta marafiki zako na tupo na chumba tu anasema wao wanakuja na awezi kuwafukuza .

Sasa huyu rafiki yake wa sasa aliyekuja ndio shida kaja toka mwezi wa 9 na wala anapango wa kuondoka yupo tu na shida nyingine ni mvivu sana hapa nipo kwenye mawazo kwasababu mke wangu ata ajali kwasababu toka aje huyo rafiki yake sijawai kufanya tendo la ndoa na mke wangu kwasababu awezi kufanya na yeye yupo hapo naona mke wangu wala aoni shida yeye yupo tu

Vipi jamani nifanye nini nimuondoe huyu shemegi hapa na ugwadu paka natamani nichepuke au nimle huyu shemegi akikataa itakuwa ndio njia ya kuondoka mwenyewe kwasababu kuna muda wife anawai kazini ananiacha mimi naye naombe ushauri nifanye nini imekuwa kero kubwa sana
Na wewe karibisha rafiki zako, mlale pair
 
Jamani nimeoa mwaka huu mwezi wa pili tunaishi vizuri na mke wangu bila shida yoyote.

Menzi mitatu baada ya ndoa mke wangu akaanza kuleta marafiki zake wa kike tuishi nao wakati anajua kabisa tumepanga chumba kimoja wakawa wanakuja baada ya wiki wanaondoka wanakuja wengine hivyo hivyo nikimuambia mbona unaleta marafiki zako na tupo na chumba tu anasema wao wanakuja na awezi kuwafukuza .

Sasa huyu rafiki yake wa sasa aliyekuja ndio shida kaja toka mwezi wa 9 na wala anapango wa kuondoka yupo tu na shida nyingine ni mvivu sana hapa nipo kwenye mawazo kwasababu mke wangu ata ajali kwasababu toka aje huyo rafiki yake sijawai kufanya tendo la ndoa na mke wangu kwasababu awezi kufanya na yeye yupo hapo naona mke wangu wala aoni shida yeye yupo tu

Vipi jamani nifanye nini nimuondoe huyu shemegi hapa na ugwadu paka natamani nichepuke au nimle huyu shemegi akikataa itakuwa ndio njia ya kuondoka mwenyewe kwasababu kuna muda wife anawai kazini ananiacha mimi naye naombe ushauri nifanye nini imekuwa kero kubwa sana
Umeoa msichana siyo mwanamke😂😂
Jamani nimeoa mwaka huu mwezi wa pili tunaishi vizuri na mke wangu bila shida yoyote.

Menzi mitatu baada ya ndoa mke wangu akaanza kuleta marafiki zake wa kike tuishi nao wakati anajua kabisa tumepanga chumba kimoja wakawa wanakuja baada ya wiki wanaondoka wanakuja wengine hivyo hivyo nikimuambia mbona unaleta marafiki zako na tupo na chumba tu anasema wao wanakuja na awezi kuwafukuza .

Sasa huyu rafiki yake wa sasa aliyekuja ndio shida kaja toka mwezi wa 9 na wala anapango wa kuondoka yupo tu na shida nyingine ni mvivu sana hapa nipo kwenye mawazo kwasababu mke wangu ata ajali kwasababu toka aje huyo rafiki yake sijawai kufanya tendo la ndoa na mke wangu kwasababu awezi kufanya na yeye yupo hapo naona mke wangu wala aoni shida yeye yupo tu

Vipi jamani nifanye nini nimuondoe huyu shemegi hapa na ugwadu paka natamani nichepuke au nimle huyu shemegi akikataa itakuwa ndio njia ya kuondoka mwenyewe kwasababu kuna muda wife anawai kazini ananiacha mimi naye naombe ushauri nifanye nini imekuwa kero kubwa sana
Wewe na mke wako wote nyie ni watoto hamuwezi kujiongoza!!Mwanaume ndo kichwa cha nyumba acha upopoma🤗
 
Jamani nimeoa mwaka huu mwezi wa pili tunaishi vizuri na mke wangu bila shida yoyote.

Menzi mitatu baada ya ndoa mke wangu akaanza kuleta marafiki zake wa kike tuishi nao wakati anajua kabisa tumepanga chumba kimoja wakawa wanakuja baada ya wiki wanaondoka wanakuja wengine hivyo hivyo nikimuambia mbona unaleta marafiki zako na tupo na chumba tu anasema wao wanakuja na awezi kuwafukuza .

Sasa huyu rafiki yake wa sasa aliyekuja ndio shida kaja toka mwezi wa 9 na wala anapango wa kuondoka yupo tu na shida nyingine ni mvivu sana hapa nipo kwenye mawazo kwasababu mke wangu ata ajali kwasababu toka aje huyo rafiki yake sijawai kufanya tendo la ndoa na mke wangu kwasababu awezi kufanya na yeye yupo hapo naona mke wangu wala aoni shida yeye yupo tu

Vipi jamani nifanye nini nimuondoe huyu shemegi hapa na ugwadu paka natamani nichepuke au nimle huyu shemegi akikataa itakuwa ndio njia ya kuondoka mwenyewe kwasababu kuna muda wife anawai kazini ananiacha mimi naye naombe ushauri nifanye nini imekuwa kero kubwa sana
Hivi kweli na wewe unaona unastahili kuitwa mume wa mtu!!??? Usitutie aibu wanaume wenzio
 
huyo mke wako ulimuokota wapi?mbona bogasi hivyo
sasa chakufanya ili umkomeshe mke wako asirudie tena jaribu uwe unamletea huyo rafiki wa mke wako zawadi nzuri nzuri alfu uwe una mpa attention.
hapo mke mke wako ataanza kuona wivu na mwenyewe ataanza mipango ya kumuondoa rafiki yake nyumbani kwako
Nilimtoa kwao kabisa na mahari nikalipa vizuri kabisa si ata tulioana kwa kutoroshana ni hkwani hao rafiki zake wakija wewe

Nilimtoa kwao kabisa na mahari nikalipa vizuri kabisa si ata tulioana kwa kutoroshana ni halali kabisa
mkuu kwani anapowaletaga hao rafiki zake wewe hua unajua au unawakuta tu?na kama anakupaga taarifa kwanini uruhusu?
 
huyo mke wako ulimuokota wapi?mbona bogasi hivyo
sasa chakufanya ili umkomeshe mke wako asirudie tena jaribu uwe unamletea huyo rafiki wa mke wako zawadi nzuri nzuri alfu uwe una mpa attention.
hapo mke mke wako ataanza kuona wivu na mwenyewe ataanza mipango ya kumuondoa rafiki yake nyumbani kwako



mkuu kwani anapowaletaga hao rafiki zake wewe hua unajua au unawakuta tu?na kama anakupaga taarifa kwanini uruhusu?
Uwa sijui ukitoka kazi unakuta mtu yupo huyu kuna siku mke wangu alienda kwao kusalimia ndio akaja naye alivyofika nikamuambia karibu shem akasema akaja kutusalimia nikajua anaondoka kesho yake ndio paka leo mtu yupo
 
Wala usiumize kichwa na usile hao rafiki wa mkeo kwa kuwa unaonekana sio tabia yako.

Cha kufanya leo ukirudi nyumbani usiku anza kumshika shika mkeo, mabusu kama yote kama vile huoni kuna mtu mwingine humo ndani. Mkeo akijifanya kukuzuia mwambie yeye ni mke, huwezi enda tafuta machangu wakati yeye yupo... kama hataki akuruhusu. Make sure unamfanya leo hata mbele ya huyo rafiki yake! halafu leta mrejesho hapa
 
Wala usiumize kichwa na usile hao rafiki wa mkeo kwa kuwa unaonekana sio tabia yako.

Cha kufanya leo ukirudi nyumbani usiku anza kumshika shika mkeo, mabusu kama yote kama vile huoni kuna mtu mwingine humo ndani. Mkeo akijifanya kukuzuia mwambie yeye ni mke, huwezi enda tafuta machangu wakati yeye yupo... kama hataki akuruhusu. Make sure unamfanya leo hata mbele ya huyo rafiki yake! halafu leta mrejesho hapa
Tatizo kuu yani mke wangu aoni aibu wala ajali chochote
 
Uwa sijui ukitoka kazi unakuta mtu yupo huyu kuna siku mke wangu alienda kwao kusalimia ndio akaja naye alivyofika nikamuambia karibu shem akasema akaja kutusalimia nikajua anaondoka kesho yake ndio paka leo mtu yupo
huyo rafiki yake mke wako na mke wako nani mzuri?hapa naomba uwe mkweli
 
Mimi nakushauri umle uyo shemeji kabla ya i weekend kufika
 
Jamani nimeoa mwaka huu mwezi wa pili tunaishi vizuri na mke wangu bila shida yoyote.

Menzi mitatu baada ya ndoa mke wangu akaanza kuleta marafiki zake wa kike tuishi nao wakati anajua kabisa tumepanga chumba kimoja wakawa wanakuja baada ya wiki wanaondoka wanakuja wengine hivyo hivyo nikimuambia mbona unaleta marafiki zako na tupo na chumba tu anasema wao wanakuja na awezi kuwafukuza .

Sasa huyu rafiki yake wa sasa aliyekuja ndio shida kaja toka mwezi wa 9 na wala anapango wa kuondoka yupo tu na shida nyingine ni mvivu sana hapa nipo kwenye mawazo kwasababu mke wangu ata ajali kwasababu toka aje huyo rafiki yake sijawai kufanya tendo la ndoa na mke wangu kwasababu awezi kufanya na yeye yupo hapo naona mke wangu wala aoni shida yeye yupo tu

Vipi jamani nifanye nini nimuondoe huyu shemegi hapa na ugwadu paka natamani nichepuke au nimle huyu shemegi akikataa itakuwa ndio njia ya kuondoka mwenyewe kwasababu kuna muda wife anawai kazini ananiacha mimi naye naombe ushauri nifanye nini imekuwa kero kubwa sanani
Ni mvivu mke wangu anaenda kazini yeye amelala akirudi anamkuta kalala yani ata vyombo ajaosha juzi mke wangu alikuwa ni zamu yake kufagia nje na kudeki choo akamuomba msaidie kufua nguo zilikuwa ameloweka yeye akifanya hizo kazi akasema wezi kufua wakati sisi tumevaa nilishangaa kwasababu mwezi anakula bure analala bure paka pesa ya kusuka anapewa

Jamani nimeoa mwaka huu mwezi wa pili tunaishi vizuri na mke wangu bila shida yoyote.

Menzi mitatu baada ya ndoa mke wangu akaanza kuleta marafiki zake wa kike tuishi nao wakati anajua kabisa tumepanga chumba kimoja wakawa wanakuja baada ya wiki wanaondoka wanakuja wengine hivyo hivyo nikimuambia mbona unaleta marafiki zako na tupo na chumba tu anasema wao wanakuja na awezi kuwafukuza .

Sasa huyu rafiki yake wa sasa aliyekuja ndio shida kaja toka mwezi wa 9 na wala anapango wa kuondoka yupo tu na shida nyingine ni mvivu sana hapa nipo kwenye mawazo kwasababu mke wangu ata ajali kwasababu toka aje huyo rafiki yake sijawai kufanya tendo la ndoa na mke wangu kwasababu awezi kufanya na yeye yupo hapo naona mke wangu wala aoni shida yeye yupo tu

Vipi jamani nifanye nini nimuondoe huyu shemegi hapa na ugwadu paka natamani nichepuke au nimle huyu shemegi akikataa itakuwa ndio njia ya kuondoka mwenyewe kwasababu kuna muda wife anawai kazini ananiacha mimi naye naombe ushauri nifanye nini imekuwa kero kubwa sana
mgegede mke wako usiku huyo rafiki ake akiwa amelala, kesho yake huyo rafiki ake atakupa mzigo na yeye
 
Back
Top Bottom