Huyu mke wangu tatizo

Huyu mke wangu tatizo

Mkeo wa Tanga nn??

Kama sio mtanga maana yake umeoa hawa madem wa kinondoni wanaojiuza, chumba kimoja wanakaaa 10, sasa maisha hayo wameshayazoea.

Inamaana hupigi mzigo??

Ok kuna mawili tu hapa

1--Tongoza Rafikizo, wakikubali gonga, wakikataa watamuambia ,kisha njoo namba 2

2--Mchane Laivu nmekuoa wee ,sijaoa rafikizo, chumba kimoja hatuwezi ishi watatu... Asipokuelewa rudi namba 1.
 
Ni mvivu mke wangu anaenda kazini yeye amelala akirudi anamkuta kalala yani ata vyombo ajaosha juzi mke wangu alikuwa ni zamu yake kufagia nje na kudeki choo akamuomba msaidie kufua nguo zilikuwa ameloweka yeye akifanya hizo kazi akasema wezi kufua wakati sisi tumevaa nilishangaa kwasababu mwezi anakula bure analala bure paka pesa ya kusuka anapewa

Mbona huwezi simamia Nyumba yako? Mfukuze; wewe si Baba? Au haujui wewe ndo kiongozi na unaangalia maslahi ya familia?
 
Ni mvivu mke wangu anaenda kazini yeye amelala akirudi anamkuta kalala yani ata vyombo ajaosha juzi mke wangu alikuwa ni zamu yake kufagia nje na kudeki choo akamuomba msaidie kufua nguo zilikuwa ameloweka yeye akifanya hizo kazi akasema wezi kufua wakati sisi tumevaa nilishangaa kwasababu mwezi anakula bure analala bure paka pesa ya kusuka anapewa
And your still living with her,,,
I'm dead
 
Wewe usingizi ukimpitia mkeo nenda kwa huyo shemeji yako, muombe hapo hapo ili mkeo akishtuka mwambie unataka Mimi niende wapi wakati humu ndani nina wake wawili?
 
huyo mke wako ulimuokota wapi?mbona bogasi hivyo
sasa chakufanya ili umkomeshe mke wako asirudie tena jaribu uwe unamletea huyo rafiki wa mke wako zawadi nzuri nzuri alfu uwe una mpa attention.
hapo mke mke wako ataanza kuona wivu na mwenyewe ataanza mipango ya kumuondoa rafiki yake nyumbani kwako
 
Kuna mmoja jana aliweka Uzi kuomba ushauri wa kuoa, jamani hizi ndoa si jambo dogo la kulikurupukia.
Sasa kama mkeo tu ashakufanya fala hivi, kuendesha familia Kama baba utaweza kweli??

It can sound harshly lakini mkuu wewe wakiitwa "Waume" za watu ni vyema usiinuke tu.


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
huyo mke wako ulimuokota wapi?mbona bogasi hivyo
sasa chakufanya ili umkomeshe mke wako asirudie tena jaribu uwe unamletea huyo rafiki wa mke wako zawadi nzuri nzuri alfu uwe una mpa attention.
hapo mke mke wako ataanza kuona wivu na mwenyewe ataanza mipango ya kumuondoa rafiki yake nyumbani kwako
Nilimtoa kwao kabisa na mahari nikalipa vizuri kabisa si ata tulioana kwa kutoroshana ni halali kabisa
 
Jamii Forums ni sample ya Watanzania so it represent reality ya Wa Tanzania, so rekebisha na jumuisha kwamba wa Tanzania wanapenda Ngono
Hehehe
Swala nimeliona JAMII FORUM alaf ni generalize kwa watu wote Tanzania !?

Sijakosea Popote
Nimetaka tuu kuwa Specific japo ni kweli watz tunapenda Ngono
 
Dogo hata katatzo hako kadogo unashindwa kutatua?

Anza kuwatafuna mmoja baada ya mwingne. Ukishawagonga yeye mwenyew hatakubari waje tena hapo kwako
 
Kuna mmoja jana aliweka Uzi kuomba ushauri wa kuoa, jamani hizi ndoa si jambo dogo la kulikurupukia.
Sasa kama mkeo tu ashakufanya fala hivi, kuendesha familia Kama baba utaweza kweli??

It can sound harshly lakini mkuu wewe wakiitwa "Waume" za watu ni vyema usiinuke tu.


Let's meet at the top, cheers
Sasa hapa unafanya aje
 
Jamani nimeoa mwaka huu mwezi wa pili tunaishi vizuri na mke wangu bila shida yoyote.

Menzi mitatu baada ya ndoa mke wangu akaanza kuleta marafiki zake wa kike tuishi nao wakati anajua kabisa tumepanga chumba kimoja wakawa wanakuja baada ya wiki wanaondoka wanakuja wengine hivyo hivyo nikimuambia mbona unaleta marafiki zako na tupo na chumba tu anasema wao wanakuja na awezi kuwafukuza .

Sasa huyu rafiki yake wa sasa aliyekuja ndio shida kaja toka mwezi wa 9 na wala anapango wa kuondoka yupo tu na shida nyingine ni mvivu sana hapa nipo kwenye mawazo kwasababu mke wangu ata ajali kwasababu toka aje huyo rafiki yake sijawai kufanya tendo la ndoa na mke wangu kwasababu awezi kufanya na yeye yupo hapo naona mke wangu wala aoni shida yeye yupo tu

Vipi jamani nifanye nini nimuondoe huyu shemegi hapa na ugwadu paka natamani nichepuke au nimle huyu shemegi akikataa itakuwa ndio njia ya kuondoka mwenyewe kwasababu kuna muda wife anawai kazini ananiacha mimi naye naombe ushauri nifanye nini imekuwa kero kubwa sana
Mkeo hajawa tayari kuwa mke, bado ana uschana ndani yake.

We kula mzigo kila cku mpk rafiki ake akereke na akinogewa mle na yeye
 
We liamshe kama kawaida akisikia mwenzake analia apo ktandan ndo atajiongeza ahame au aje aliwe nayeye na uyo mke wako ataona izo option watasaidiana kuamua
 
Back
Top Bottom