Huyu mke wangu tatizo

Huyu mke wangu tatizo

Pole sana bro, familia ni mume, ukisema big No hakuna wa kupinga, mueleze kistaarabu kuwa hao marafiki ndo wanaweza kuvunja hiyo familia asipoangalia. Mkeo kama anachukulia poa, ongea direct na rafiki ake/zake waambie hapo sio kituo cha kupokea wenye matatizo wakatafute sehemu nyingine.
Kaza sura, kaza sauti kwa amri ya kiume..
Order ni order haipingwi....

Pole sana bro...
 
Pole sana bro, familia ni mume, ukisema big No hakuna wa kupinga, mueleze kistaarabu kuwa hao marafiki ndo wanaweza kuvunja hiyo familia asipoangalia. Mkeo kama anachukulia poa, ongea direct na rafiki ake/zake waambie hapo sio kituo cha kupokea wenye matatizo wakatafute sehemu nyingine.
Kaza sura, kaza sauti kwa amri ya kiume..
Order ni order haipingwi....

Pole sana bro...
Uwa namuambia ata kwa mafumbo wala anielewi
 
Usiku wa leo tombana na mkeo ki roho safi bila kujali uwepo wa huyo rafiki yake,asubuhi mkeo akiwahi kazini(kama ulivyosema huwa anawahi) liamshie kwa rafiki yake,safi kabisa au kama vipi mwambie mkeo mtombane threesome
 
Si umle? Sasa kama anakaa kwako, mvivu, Nyumba ndogo! Unafanyaje? Unamla mke akijua hatowaleta tena!
Ni mvivu mke wangu anaenda kazini yeye amelala akirudi anamkuta kalala yani ata vyombo ajaosha juzi mke wangu alikuwa ni zamu yake kufagia nje na kudeki choo akamuomba msaidie kufua nguo zilikuwa ameloweka yeye akifanya hizo kazi akasema wezi kufua wakati sisi tumevaa nilishangaa kwasababu mwezi anakula bure analala bure paka pesa ya kusuka anapewa
 
Kumla naona noma mke wangu anaweza kuleta balaa

Unaogopa balaa la mkeo na chanzo ni yeye? Mkuu mbona unafeli tembeza pipe kwa wote kama mkeo anakupenda na anawivu nawewe atorudia kuwaleta marafiki walale kwako.
 
Fanya hivi. Shida tunasaidiana, tafuta chumba hata cha 20, lipa miezi 3 akaishi huko kama una uwezo ndugu, atakuwa anakuja kula na kwenda kulala huko. Marafiki wa mkeo ni marafiki zako na siku zote maisha huzunguka.

Leo kwake kesho kwako na yeye hapendi ila maisha magumu ndiyo maana yupo hapo. Usikute huyo rafiki wa mkeo wametoka mbali na mke wako ndiyo maana ameshindwa hata kumfukuza. Ongea na mkeo mchangie pesa akapange angalau hata kodi ya miezi 3

Sikushauri umgonge huyo rafiki wa mkeo wako (muogope kama njaa). Matatizo huwa hayatatuliwi kwa matatizo. Ukumbuke huyo mgeni anashida ndiyo maana amekubali kulala chumba kimoja watu 3 kwahiyo ukimla huyo mwanamke atakuwa kama umemkaribisha yaani umeoa mke wa pili na hapo utakuja kushangaa bi mdogo anashika mimba kabla ya bi mkubwa. Kinachofuata Bi mkubwa kufukuzwa kwenye chumba.
Mama yake alishafariki nilimuambia mama yake mdogo na dada yake ila ata naona kama aikusaidia chochote
 
Mke wangu Msukuma mimi na mke wangu na lala kitandani yeye katandika kagodoro chini
Duh aisee ndo nasikia Leo, hivi unawezaje,
Si umtimue. Huyo mke wako nae hajakua, unawezaje kuishi hivyo. Dah
 
Kwanza ni very awkward kwa mtu kwenda kuishi chumba kimoja na wanandoa. Labda mke wako anawaambia wewe ni kaka yake, otherwise wasingeweza.

Na kama ni hivyo, wewe jitoe ufahamu, ukifika muda unamwambia wife akupe mzigo, piga kazi kama kawaida tena kila siku. Wife akikukatalia kukupa mzigo hapo ndo uanzishe mjadala kwa nini? Akijibu sababu muulize mpaka lini.

NB: Hii ni kama chai lakini, maana naona kichwani haiji.
 
Back
Top Bottom