Huyu mchaga ni level ya juu sana

Huyu mchaga ni level ya juu sana

Ukiwa busy na mambo yako hauwezi kukubali kutumika kwa wengine.
Lakini pia uongozi ni wito sio kila fala anaweza kuwa kiongozi. Just imagine Hafidh ni kiongozi hata yeye mwenyewe ukimuuliza hajui kama ni kiongozi😂😂😂😂😂😂😂

Wachaga wengi hawana wito wa uongozi ila sasa fuatilia hii nchi sekta zoooote zinazohusu fedha kama hauwezi kuwakuta.

Dili na ile kitu inakupa faida mzee!!!
Wewe upo sahihi mkuu.
 
Ale mchicha Ili aone.

Niliwah kudate na mchaga fulani, ah kmmmkee zake mngese yule, alikua anapenda pesa kama wakala 🙌
Ila kwa upande wangu hakuwahi kunibamiza….Sema tuliachana kwa maji ya kilimahewa nusu lita.alidai nimemnunulia maji ya kandoro ila hawa KILIMAHEWA…….
 
Back
Top Bottom