Huyu mchaga ni level ya juu sana

Huyu mchaga ni level ya juu sana

Facebook Iliana kwenye maneno ya Harvard mwak 2004; ya kwako ya 2002 ilikuwa Facebook ipi? Hata myspace nayo ilianza mwaka 2003. Labda ilikuwa Talk Coty ambayo ilikuwa text chatroom bila picha
February 4, 2004 sijasahau kuzaliwa kwa The Facebook kwa ajili ya wanafunzi wa Harvard
 
wachaga ni wasomi sana lakini mbona siwaoni katika nafasi kubwa za uongozi?
Ukiwa busy na mambo yako hauwezi kukubali kutumika kwa wengine.
Lakini pia uongozi ni wito sio kila fala anaweza kuwa kiongozi. Just imagine Hafidh ni kiongozi hata yeye mwenyewe ukimuuliza hajui kama ni kiongozi😂😂😂😂😂😂😂

Wachaga wengi hawana wito wa uongozi ila sasa fuatilia hii nchi sekta zoooote zinazohusu fedha kama hauwezi kuwakuta.

Dili na ile kitu inakupa faida mzee!!!
 
IMG-20260604-WA0018.jpg
 
Back
Top Bottom