KIMICHIO
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 1,179
- 80
Nashauri kabla ya hiyo mechi mazoezi wayafanyie Tarime kuwakakamaza zaidi.Mechi ipigwe uwanja wa ugenini Darfur International Stadium baina ya Tanzania Army na Al-Shabab refarii atoke Taliban washika vibendera watoke Alqueda na kamisaa Mpalestina na Stars wakishinda hiyo mechi wazawadiwe kinu cha nyuklia cha kisasa kabisa.Onyo hakuna kukimbia mpaka mwisho wa mchezo vinginevyo ni faini kali ikiambatana sambamba na kufungiwa maisha kushiriki michuano hiyo na shirikisho la vita vya kirafiki ulimwenguni.Nawasilisha.....!!!!