[Mh. Madam speaker, kwa kuwa serikali yetu inaajiri wanajeshi kila mwaka, na kwa kuwa hakuna kitu wafanyacho zaidi ya kula na kukimbizana na raia. Na kwa kuwa serikali yetu inanunua silaha kila mwaka na silaha hizo hazitumiki ipasavyo na kwa wakati na hatimaye kuharibika na kudhuru raia kama ilivyotokea Mbagala na G'mboto. Je serikali haioni umuhimu wa kukodisha wanajesh wetu ili tupate nyongeza ya pato la kigeni? Na je, serikali haioni umuhimu wa kuomba vita vya kirafiki na jirani zetu ili kuchangamsha wanajeshi wetu na kutumia silaha ili zisilipuke ovyo]
Mhe Mbunge hapo penye kula na kukimbizana na raia, ongeza kulewa na kucheza gwaride! Hofu yangu ni kwamaba mabomu yenyewe na wao wanayasikia yakilipuka G'Mboto na Mbagala ukiwapeleka vitani unategemea nini kama sio kuchanja mbuga na kulala mbele?